Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
Hukulazimishwa kusomaMh kuna comments nyingine ni kichefuchefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukulazimishwa kusomaMh kuna comments nyingine ni kichefuchefu
We jamaa wewe duuuh, me napita tu kinyonge.Malaika wa kiume huko mbinguni leo watakuwa katika mood nzuri sana
Shoga warembo wetu wanaisha,aisee mi nilikuwa napenda kumuona anavyotuonyesha tako lakeJamani jamaniii daaahhh!!uhai wetu ni mfupii!turudi kwa Mungu!
Usimwombe msamaha. Hii habari ipo kwenye social media nyingi zingine si JF peke yake haiwezi kuwa ya kuzushaSamahani mkuu
Na afande.naye si keshatangulia?
Sijawahi kupata Msambwanda Aisee kama unao nitumie Inbox.Upo mzee wa misambwanda!!!
Pole kwa msiba
Sipendagi utani kwny habari km hizi ndo maana nikamtaka radhi ili atulie mkuuUsimwombe msamaha mtu mjinga. Hii habari ipo kwenye social media nyingi zingine si JF peke yake haiwezi kuwa ya kuzusha
dah mtoto kaondoka na utamu wake aisee[emoji16] [emoji16] [emoji16]Nimezipata fb punde..
Tusubiri taarifa zaidi.
Mkuu...aliwatanguliza!!Na msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... [emoji1019] Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
Dahh!yaani kweli uhai hauna thamani hata kidogo jamani na hizi Dozi zetu hiziii!Shoga warembo wetu wanaisha,aisee mi nilikuwa napenda kumuona anavyotuonyesha tako lake
AmenMay her soul rest in eternal peace
Sina mkuuSijawahi kupata Msambwanda Aisee kama unao nitumie Inbox.
Kwani neno bikra ni tusi.?Kuna kauli nyingine mtu akiongea zimekaa kuudhalilisha utu wa mwanamke.
Hivi uliwaza nn kuandika hili neno "kutolewa bikra ya kizazi?".
Huoni kwamba limekaa kuutusi utu wa mwanamke?
We mama yako hakukuzaa? Unaona sifa kutusi hata waliokuleta dunian kwa maneno kama haya?
Broo shikamoooNa msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... [emoji1019] Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
Ukipata usisahau.Sina mkuu