TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Kuna tetesi kuwa Agnes Masogange amefariki dunia!

Jina la Agnes Gerald “Masogange” sio geni katika masikio ya Watanzania. Ni mwanadada mrembo. Lakini warembo wapo wengi. Masogange ni maarufu. Akina dada warembo na maarufu wapo wengi pia. Lakini umaarufu wa Masogange ni tofauti. Umaarufu wake umepatikana kutokana na anavyoonekana katika video za wanamuziki, na sehemu ya mwili wake inayompatia umaarufu ni jinsi alivyojaliwa na Mwenyezi Mungu.
 
Kuna tetesi kuwa Agnes Masogange amefariki dunia!

Jina la Agnes Gerald “Masogange” sio geni katika masikio ya Watanzania. Ni mwanadada mrembo. Lakini warembo wapo wengi. Masogange ni maarufu. Akina dada warembo na maarufu wapo wengi pia. Lakini umaarufu wa Masogange ni tofauti. Umaarufu wake umepatikana kutokana na anavyoonekana katika video za wanamuziki, na sehemu ya mwili wake inayompatia umaarufu ni jinsi alivyojaliwa na Mwenyezi Mungu.
Hata Mimi nimesikia hivyo sasahivi hapa nje watu wanasema hivyo Kuwa kafariki
 
Inasemekana alikuwa amelazwa hospitali moja wapo maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam!
Tafadhali mwenye taarifa zaidi atujuze
 
Back
Top Bottom