bado tuna yule wa mahari milion 10Sasa tulikuwa tunaringia Agness kumtikisa Vera sidika jamaniii [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado tuna yule wa mahari milion 10Sasa tulikuwa tunaringia Agness kumtikisa Vera sidika jamaniii [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Yaani na uzuri wote ule,amekuwa nyama ya udongo!!,da kweli kifo hakina huruma,Wadau nilipita Mama Ngoma Health Centre Mwenge na kukuta watu wakilia kuuliza naambiwa Video Queen Masogange amefariki muda mfupi uliopita.
=========
UPDATES:
=========
Video queen maarufu Bongo Agness Gerald maarufu kama Agness Masogange amefariki Dunia leo katika Hospitali ya Mama Ngoma Mwenge jijini Dar Es Salaam.
Alikuwa anasumbuliwa na Homa ya matumbo pamoja na tatizo la kupungukiwa na damu.
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi.
Speak for yourself.Through Jesus Christ our Lord and Savior ...Amen
Ulitaka amwachie nani? Kaondoka na msingi kiuno wa kuanzia maisha huko.
Hahah, hapana mkuuUlikuwa unachukua nini mkuu
Speak for yourself.
You didn't have to be an obnoxious pompous jerk and quote me.
Just say you believe there is God, if you know that means you have seen him.You are entitled to your opinion, like am entitled to mine.
I know there is God, and I know there is heaven and hell.
Ha ha ha ha ha ha ha ha watu wazima wenye busara zao utawajua tu. Yaani hata itumike lugha ngumu na ya kificho kiasi gani, wao wanakuwa wameshabaini chanzo mapema sana na wao hutumia lugha ya kificho kutoa majibu ha ha ha ha ha ha ha ha we jamaa umenichekesha sana.....na shukurani kwa kunipa jibu ambalo ingenichukua pengine lisaa kujua.....Na msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... [emoji1019] Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
Sio kweli. Homa ya matumbo na upungufu wa damu Bashite hawezi kuhusika hapo.Bashite anahusika moja kwa moja na kifo hiki. Yaani tumepoteza rasilimali ya taifa
Watamlaaaa sanaZamu ya mchwa sasa....
hv ww mama S huna tako??
unajua Agnes's anapendwa sana take easyMzee ulikuwa jela nini? Uzi umeshaanzishwa upo page ya 17 wewe ndio unakuja na taarifa hii? Kabla ya kutoa habari JF kwanza search kama imeshaanzisha au lah...Habari ipo humu karibia lisaa limoja na 30 iliyopita.