Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Da Upungufu wa damu,like seriously? Isiwe wazee wa NGADA wamefanya yao,postmortem inahusika sana hapo.Nipo Hospital ya Mama Ngoma ni kweli amefariki kwa upungufu wa damu
Upungufu wa damu, mbona haingii akilini?Nipo Hospital ya Mama Ngoma ni kweli amefariki kwa upungufu wa damu
Inna lillahi wa inna ilayhi rajiunWana JF Msaniii Agness Masogange ameaga dunia Leo jijini Dar Es Salaam. Taarifa zaidi hivi punde.
Mh samahani km nimekuudho mkuuKafa na umbo lake?
Kwani ilisemwa kuwa hatokufa kwa kuumbika vile?
Acha ujingaKama ni kweli na mchwa wanaenda. kufaidi,
Ww ndo mjinga, Unae amini kila kitu kwenye mitandaoAcha ujinga
Wadau nilipita Mama Ngoma Health Centre Mwenge...
Na kukuta watu wakilia kuuliza naambiwa Video Queen Masogange amefariki muda mfupi uliopita. RIP Agness.
Samahani mkuuWw ndo mjinga, Unae amini kila kitu kwenye mitandao
Mh samahani km nimekuudho mkuu