TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Mtoto anae mkuu, tena mkubwa mno, ila alikuwa anataka mumuone mbichi akawa anamficha sana..
Hakuna mwanamke anayetokea mbeya awe mzuri alafu afkishe miaka 20 bila kutolewa bikra ya kizazi..
Kuna kauli nyingine mtu akiongea zimekaa kuudhalilisha utu wa mwanamke.

Hivi uliwaza nn kuandika hili neno "kutolewa bikra ya kizazi?".

Huoni kwamba limekaa kuutusi utu wa mwanamke?

We mama yako hakukuzaa? Unaona sifa kutusi hata waliokuleta dunian kwa maneno kama haya?
 
Na msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... [emoji1019] Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza

Ana mtoto wa kike mkuuu tena kakubwa tuu
 
Wadau nilipita Mama Ngoma Health Centre Mwenge...
Na kukuta watu wakilia kuuliza naambiwa Video Queen Masogange amefariki muda mfupi uliopita.

=========
UPDATES:
=========

Alikuwa anasumbuliwa na Homa ya matumbo pamoja na tatizo la kupungukiwa na damu.
nafikiri leo siyo siku ya wajinga duniani
 
Back
Top Bottom