Man Simple
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 422
- 250
Bado sija amini ngoja niendelee ku peluzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwe mpuuzi kiasi hiki mkuuWameona wamtangulize maana angetaja mabosi wake wanaomtumiaga kwenye kusafirisha ngada. Ni kama yule aliyesema Lowasa ni baba yake, alipotaja tu na kuomba msamaha mabosi wamemgeuka, sasa anacheza segere la Polisi peke yake.
All in all, RIP.
Acha kabisa alikua mzima jana tu leo marehemuHiii habari nimeiona Instagram... Kama kweli kifo hakina huruma.
Nipo kwa hewa mkuu, [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kama hujavuta jani la kwny avatar sijui
Kuna kauli nyingine mtu akiongea zimekaa kuudhalilisha utu wa mwanamke.Mtoto anae mkuu, tena mkubwa mno, ila alikuwa anataka mumuone mbichi akawa anamficha sana..
Hakuna mwanamke anayetokea mbeya awe mzuri alafu afkishe miaka 20 bila kutolewa bikra ya kizazi..
Na msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... [emoji1019] Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
Aiseee kuna kitu hapa,si bure,uchunguzi huru unahitajika.
View attachment 751179
Anko Juju mi wala sitaenda. Ntampa pole tu humuUkikosa kwenda msibani naondoka JF.....hahahaa
AMEKUFA KWELI MASKINIMmmh mi nasubiri source kamili
Mkuu natamani kujua maana ya hiki ulichoandika. Safari iliishia mahala fulani?Oh no!
I’m so sad!
I once met her at the airport en route to Mwanza and we hit it off so well.
Rest easy beautiful!
Sijui ume juaje mkuu nipo angani na pepea tuNipo kwa hewa mkuu, [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Alikuwa na mav balaaaaAiseee kuna kitu hapa,si bure,uchunguzi huru unahitajika.
View attachment 751179
nafikiri leo siyo siku ya wajinga dunianiWadau nilipita Mama Ngoma Health Centre Mwenge...
Na kukuta watu wakilia kuuliza naambiwa Video Queen Masogange amefariki muda mfupi uliopita.
=========
UPDATES:
=========
Alikuwa anasumbuliwa na Homa ya matumbo pamoja na tatizo la kupungukiwa na damu.
Anko Juju mi wala sitaenda. Ntampa pole tu humu