TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Sasa tulikuwa tunaringia Agness kumtikisa Vera sidika jamaniii [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Wadau nilipita Mama Ngoma Health Centre Mwenge na kukuta watu wakilia kuuliza naambiwa Video Queen Masogange amefariki muda mfupi uliopita.

View attachment 751185

=========
UPDATES:
=========
Alikuwa anasumbuliwa na Homa ya matumbo pamoja na tatizo la kupungukiwa na damu.

Homa ya matumbo - Wikipedia, kamusi elezo huru

HMA.jpg

Uchunguzi huru unahitajika hapa.
 
Mungu awape faraja ndugu, jamaa na Marafiki wote wa Agness Masogange.

Kifo kinapotokea kinakuwa ni funzo kwetu ili kujiandaa kabla ya kufa.

Swali fikirishi huwa ni : Ukifa utaenda wapi?
 
Nipo makini na wa dunguaji, [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Faili limefungwa nasikia

Ngoja tuomboleze

Poleni ndugu jamaa na marafiki bila kusahau wale wote wapenda wowowo
 
Mshana homa ya matumbo ndio nini?
Na msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... ⚰ Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
 
Tulio hai tusijisahau wakuu..duniani tu wapitaji tu ila kuna watu hili haliwaingii akilini! R.I.P Agnnes G.M
 
Mkuu natamani kujua maana ya hiki ulichoandika. Safari iliishia mahala fulani?

Niliwahi kukutana naye airport JNIA nikielekea Mwanza naye akielekea Mwanza. Tulipanda ndege moja na tuli chit chat kidogo wakati tukisubiri kupanda ndege!
 
Back
Top Bottom