TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Wameona wamtangulize maana angetaja mabosi wake wanaomtumiaga kwenye kusafirisha ngada. Ni kama yule aliyesema Lowasa ni baba yake, alipotaja tu na kuomba msamaha mabosi wamemgeuka, sasa anacheza segere la Polisi peke yake.

All in all, RIP.
dah what is happening aise ...
 
Dada polee nimeumia kawaida tu maana hata nami nimefiwa watu wengi tu wa karibu yangu ,sio kila kifo lazima kiniguse vilivyo tena bora hata hiki nimeumia wengine hata wakifa hata sishtuki kabisa
Pole kwa majonzi sana
 
Ingewezekana kupeana lile tako tungegombania wengi lkn ndo hivyo kama alivyokuja nalo ndivyo alivyoondoka nalo
Mzigo ulikua sio wa kitoto ule sema wakubwa walifaidi [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] r.i.p mosogange
 
hahaaa huko hapa chagui mtu MZee"" amekwenda nyerere"" kwame nkurumah"" jf Kennedy"" farao (rammises) itakuwa masogange"" ukweli uliomchungu ni huu"" hata mimi nawewe tupo kwenye foleni ""
Halafu huko ni kuzuri ndo maana ndugu zetu wakienda huko hawarudi huku kuisoma namba,
 

Huwa nakuheshimu sana mkuu japo ni kimya kimya.

Be blessed.
 
Da Upungufu wa damu,like seriously? Isiwe wazee wa NGADA wamefanya yao,postmortem inahusika sana hapo.
Nimewaza pia hivyo, inasemekana Mungu wa dar amemsumbua sana toka waachane watu wake wa karibu wanasema kila siku anamletea mapicha mara amnyang'anye vitu nk labda aliogopa angetoa siri zake
 
Na msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... ⚰ Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza


Mimi nahisi wabongo wamemtupia yale madude yenye asili ya uarabuni ili yamnyonye damu, binadamu sie si wema kabisa Mshana Jr
 
Jamaa wa Mortuary leo wanamuona MASOGANGE LIVE AISEE.

Dah hii ndio kufa kufaana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…