Anaye Mtoto mkubwa tu alizaa zamani sana.Na msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... [emoji1019] Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
afadhali umejazia Nyama "" maana ndio hiyo aliyokuwa anaikusudia""Kama na hiyo dhambi basi karibia 75% ya wadada wa mjini wanayo
Lazima, litoto lilikuwa limeumbika hatari, na ni kawaida ya wanawake wazuri kama yeye kukumbukwa kwa uzuri wao, Agnes siyo tako tu, umbo, miguu, sura, nywele, kila kitu, labda hata kule nani hii...Yan asilimia kubwa humu watu wanasikitika na tako tu
Comment yako mbaya. Malipo ni hapahapa una maana gani? Nani aliye mkamilifu mbele ya Mungu?Na msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... ⚰ Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
Amina.Sio apunzike kwa amani, apunzike mahala panapostahili. Wewe kama nani unataka akapunzike kwa amani wakati huo pengine hastahili hata kidogo mapunziko ya amani huko aliko hivi sasa?
Watanzania muwanafiki sana!
Huyu binti apunzike panapomstahili kabisa.
Nilikuwa naongezea nyama tu mkuu siku maanisha wewe,nimegeneralized kuwa tutende mema kwa wote,unakuta MTU anauwa sababu ya Mali,au Madaraka ambavo ni vitu vya kupita na ujui kesho yako ni zamu yako kuondoka dunianiNaomba radhi kwa kutumia lugha isiyovaa nguo
What???
Leta hbr kamili usikute mnazusha
Ngoja tusubiri tutasikia mengi, kuishiwa damu na homa ya tumbo inawezekana ni mpango wa MunguDah huyu mungu wa Dar nae kila baya lake
Atakutumia bro, de ruzAisee .. R.I.P msambwanda.
Ametuachaje achaje sasa
na hapa ndipo wengi wetu tunafeli..sio maji ya kunywa tu hata ya kunawia mikono kabla ya kula yanapaswa kuchemshwa na pia ya kupigia msuwakiHivi typhod husababishwa na kunywa maji yasiyochemshwa? Sidhani kama huyu mrembo alikuwa anakunywa maji ya dawasco.
Ni kweli inatembea vibaya kwenye insta mastaa wana post sanahii habari itakuwa kweli mpaka sahii hijakanushwa
Mungu anakuonaNa msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... [emoji1019] Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
Typhoid wapo sana kwenye kuku kuliko maji au saladHivi typhod husababishwa na kunywa maji yasiyochemshwa? Sidhani kama huyu mrembo alikuwa anakunywa maji ya dawasco.
Pole sana jana uliniandama na wowowo jamani pole tena mkuu
Yaan itafikia hatua ukicheka tu unaambiwa unazima maandamanoMange Kimambi alivyo na gubu anaweza kumlaumu marehemu kua kwa nini kafa leo anawapotezea watu heka heka za maandamano.
Nenda salama mdada uku maisha yanendelea tukisubiri safari yetu.