TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Na msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... [emoji1019] Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
Anaye Mtoto mkubwa tu alizaa zamani sana.
 
Sio apunzike kwa amani, apunzike mahala panapostahili. Wewe kama nani unataka akapunzike kwa amani wakati huo pengine hastahili hata kidogo mapunziko ya amani huko aliko hivi sasa?

Watanzania muwanafiki sana!

Huyu binti apunzike panapomstahili kabisa.
Amina.
 
Naomba radhi kwa kutumia lugha isiyovaa nguo
Nilikuwa naongezea nyama tu mkuu siku maanisha wewe,nimegeneralized kuwa tutende mema kwa wote,unakuta MTU anauwa sababu ya Mali,au Madaraka ambavo ni vitu vya kupita na ujui kesho yako ni zamu yako kuondoka duniani
 
Hivi typhod husababishwa na kunywa maji yasiyochemshwa? Sidhani kama huyu mrembo alikuwa anakunywa maji ya dawasco.
na hapa ndipo wengi wetu tunafeli..sio maji ya kunywa tu hata ya kunawia mikono kabla ya kula yanapaswa kuchemshwa na pia ya kupigia msuwaki
 
Hivi typhod husababishwa na kunywa maji yasiyochemshwa? Sidhani kama huyu mrembo alikuwa anakunywa maji ya dawasco.
Typhoid wapo sana kwenye kuku kuliko maji au salad
Kuku wanabeba wadudu wa typhoid wasipopikwa vizuri tunawasomba sana tu
 
Pole sana jana uliniandama na wowowo jamani pole tena mkuu

Leo i feel pain sana.. I lost an asset, she is so good, well blessed, heavy bottomed & anajua kuchanua mkia yaani..😱😱😱😱 basi tu Bye byee Agiii ..!! Agii kweli umeondoka? Dah😳😳
 
Back
Top Bottom