Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Hivi hukumu yake si imetoka juzi juzi tu?Angefia jela ingekuwa kashfa kwa Magereza. Bora alipolipa faini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hukumu yake si imetoka juzi juzi tu?Angefia jela ingekuwa kashfa kwa Magereza. Bora alipolipa faini
mshana hivi kuna wale mortuary attendand hua wengine ni necrophilia[emoji125][emoji125]
WEWE KATILI HUNA GARANTII YA KUMWONA MENYEZIMUNGU UKIFA.KAMA UNAYO HONGERA ILA KWANZA MUANGALIE AYUBU KABLA YA KUPIGA KIFUA. NI HAYO TU KUTOKAC SISI WENYE DHAMBI TUNAOSUBIRI MAJALIWA YA MUNGUSio apunzike kwa amani, apunzike mahala panapostahili. Wewe kama nani unataka akapunzike kwa amani wakati huo pengine hastahili hata kidogo mapunziko ya amani huko aliko hivi sasa?
Watanzania muwanafiki sana!
Huyu binti apunzike panapomstahili kabisa.
[emoji106]kwann unahisi huu msiba umewagusa wanaume?
wewe hujaumia kuona mwanamke mwenzako aliyeacha mtoto mdogo amekwenda?
wewe haijakuumiza kuona kijana mdogo wa miaka 29 akipoteza uhai wake just like that huku ndoto zake zikizima kama mshumaa?
Me naona ifike mahali tuwe na staha katika maandishi yetu sababu sotw ni binaadam na sote ni njia moja, pia tujue kua kifo ni mawaidha kwa wanaobaki,
Agness amefariki hospital kwa Typhod na Anemia hujui wewe utakufaje na wapi, utapondwa na roli uwe kama chapati watu wakuogope hata kukushika, utaungua na moto hata kuoshwa iwe shida uvishwe plastic, utakufa baharini uwe chakula cha samaki watu wasione maiti yako,
utakufa kwa kipindu pindu ndugu washindwe kukuzika uzikwe na city huku wamevaa mask na gloves.
Yote hayo mjitafakari kabla msiba wa mwenzenu hamjaugeuza kua wa kimajungu na fitna.
Message hii iende kwa wote waliodiss kuanzia comment za mwanzo mpk wanaoendelea kudiss.
Am out.
Alituandamaa aiseePole mkuuu jana uliniandama mno dah!!!
mamaqe walai mshana [emoji16][emoji16][emoji16]Na msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... [emoji1019] Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
Shoga nasikia alikuwa anaumwa ndio maana alikuwa kimyaNgoja tusubiri tutasikia mengi, kuishiwa damu na homa ya tumbo inawezekana ni mpango wa Mungu
Mwenyewe juzi alihojiwa kasema nimeolewa nimemrudia Mungu ndio maana nipo kimya na status zake ni bible tu I hope amepata mwisho mwema mbele ya hakimu mkuu
Sasa amekufa kwa sababu alikuwa anatumia au kwa sababu aliacha kutumia?Huyu tokea ile ishu ya makonda amekuwa akiumwa Sana tokea mwaka Jana amekuwa akiumwa ,akilazwa
Heroine mbaya sana kuacha vigumu. .pole yake na fundisho ,na ndicho kimemuua
Nami ni hivyo alikuwa muda tuHuyu tokea ile ishu ya makonda amekuwa akiumwa Sana tokea mwaka Jana amekuwa akiumwa ,akilazwa
Heroine mbaya sana kuacha vigumu. .pole yake na fundisho ,na ndicho kimemuua
hahaa..alipitiwa "" tu ..na hapo ndipo tunapopata mantiki ya ule msamiati unaosema kuwa hakuna. mkamilifu""Yaani mshana sijui amekuaje kawa na akili kama za bashite
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila dah!
Kufa kwake mapema hivi ni bonge la hasara!
Live good life so we don have to lie at your funeral....Kifo ni fumbo sana Ila cha masogange kimeaccha [emoji780][emoji780][emoji780][emoji780]
Eti upungufu wa damu?
Kuacha kutumia ,wakati anafuatilia kesi yake alikuwa ahudhurii sababu kila muda hospitalini .hata manji kipindi yupo jela kila wakati analazwa hospitaliniSasa amekufa kwa sababu alikuwa anatumia au kwa sababu aliacha kutumia?
Hapa kuna kitu umekificha hebu funguka mkuuNa msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... ⚰ Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza