TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Sio apunzike kwa amani, apunzike mahala panapostahili. Wewe kama nani unataka akapunzike kwa amani wakati huo pengine hastahili hata kidogo mapunziko ya amani huko aliko hivi sasa?

Watanzania muwanafiki sana!

Huyu binti apunzike panapomstahili kabisa.
WEWE KATILI HUNA GARANTII YA KUMWONA MENYEZIMUNGU UKIFA.KAMA UNAYO HONGERA ILA KWANZA MUANGALIE AYUBU KABLA YA KUPIGA KIFUA. NI HAYO TU KUTOKAC SISI WENYE DHAMBI TUNAOSUBIRI MAJALIWA YA MUNGU
 
kwann unahisi huu msiba umewagusa wanaume?
wewe hujaumia kuona mwanamke mwenzako aliyeacha mtoto mdogo amekwenda?
wewe haijakuumiza kuona kijana mdogo wa miaka 29 akipoteza uhai wake just like that huku ndoto zake zikizima kama mshumaa?

Me naona ifike mahali tuwe na staha katika maandishi yetu sababu sotw ni binaadam na sote ni njia moja, pia tujue kua kifo ni mawaidha kwa wanaobaki,

Agness amefariki hospital kwa Typhod na Anemia hujui wewe utakufaje na wapi, utapondwa na roli uwe kama chapati watu wakuogope hata kukushika, utaungua na moto hata kuoshwa iwe shida uvishwe plastic, utakufa baharini uwe chakula cha samaki watu wasione maiti yako,
utakufa kwa kipindu pindu ndugu washindwe kukuzika uzikwe na city huku wamevaa mask na gloves.

Yote hayo mjitafakari kabla msiba wa mwenzenu hamjaugeuza kua wa kimajungu na fitna.

Message hii iende kwa wote waliodiss kuanzia comment za mwanzo mpk wanaoendelea kudiss.

Am out.
[emoji106]
 
Na msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... [emoji1019] Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
mamaqe walai mshana [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ngoja tusubiri tutasikia mengi, kuishiwa damu na homa ya tumbo inawezekana ni mpango wa Mungu
Mwenyewe juzi alihojiwa kasema nimeolewa nimemrudia Mungu ndio maana nipo kimya na status zake ni bible tu I hope amepata mwisho mwema mbele ya hakimu mkuu
Shoga nasikia alikuwa anaumwa ndio maana alikuwa kimya
Aliolewa na nini??
 
Huyu tokea ile ishu ya makonda amekuwa akiumwa Sana tokea mwaka Jana amekuwa akiumwa ,akilazwa

Heroine mbaya sana kuacha vigumu. .pole yake na fundisho ,na ndicho kimemuua
Sasa amekufa kwa sababu alikuwa anatumia au kwa sababu aliacha kutumia?
 
Maskini pole kwa mtoto wake kumpoteza mama yake rest easy agy njia ya wote muhimu kujiandaa
 
Duh.. kaondoka na msambwada jomoni flat screen baaaaado wanapeta tu
 
Back
Top Bottom