Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyu dada ana mtoto alimzaa hata kabla ya kuwa maarufu sema hakuwahi mu exposeNa msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... [emoji1019] Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
Haaa!!Kwa hela zetu za kuunga unga, niliishia kupiga PUNYERE kwa kuangalia msambwanda kwenye picha
KumbeeeKumbe alikuwa na ngengwee pia
Ulitaka umuongezee damu yako niniUpungufu wa damu, mbona haingii akilini?
Watu sijui mnafikiriaga niniMange akawii kusema masogange amefariki ili kuvuruga maandamano
[emoji24][emoji24][emoji24]@Behaviourist atakua analia saa hizi.
Yuko na mtoto wa kike broNa msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... [emoji1019] Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
how u know? ao wew ndo Mungu???daahh hance maneno gani tena haya..."" usihukumu mkuu hakuna msafi""
Amin mkuu yule dada ajielewi ujue ohooWatu sijui mnafikiriaga nini
[emoji125][emoji125][emoji125]@Behaviourist inabidi tumpe rambi rambi atajiuaa
Nakusanya rambirambi zetu[emoji125][emoji125][emoji125]
Pole Behaviourist nimekuita mnoo,tunaomba uweke namba tutume rambi rambiUntil we take our final breath you will live in our heart, your love will light our way. Your memory will forever be with us. Every step we take, every move we make, every single day and every time we'll be missing you!
R.I.P![emoji120][emoji120][emoji120]
Hii ananichekesha sana sanaa eti ndoa ya Aly kiba inazima maandamanoMange akawii kusema masogange amefariki ili kuvuruga maandamano