hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
ondoa wehu wako hapa aisee...aliyekwambia kuwa mimi mungu nani ""''! ?how u know? ao wew ndo Mungu???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ondoa wehu wako hapa aisee...aliyekwambia kuwa mimi mungu nani ""''! ?how u know? ao wew ndo Mungu???
Duh, asanteTyphoid
Watanzania wenzangu, bila kuangalia dini ya mtu, leo naomba niwafunze kitu kimoja. Anapokufa mwanadamu yeyote yule inapaswa wewe ambae uko hai umuombee mwenzio Mungu amjaalie mafikio mema bila kuangalia alijuwa na amali gani anayoifanya. Maana yake ni kwamba huwezi kujua ni amali gani alikuwa anaifanya kwa siri marehemu huyo ambayo ilikuwa inampendeza Mungu na vile vile mwisho wake ni kiasi gani ulikuwa mwema au mbaya.
Tuombeane mema. Naanza mimi.
"Mungu amlaze mahali pema peponi, Amin"
*Maombi yako hayaongezi wala kupunguza kitu mbele za muumba, yeye pekee ndie ajuae amali za mja wake.
Nawaza tu alivuokuwa na shape nzuri dahYako je? Mbona bomba kuliko yeye?
Mkuu mimi ni muislam, najua na naelewa haifai kuombeana mabaya kwasababu Mungu ndio anapanga lolote kwa mja wake.mnnnnhhhhhh leo umeokoka?
Hahaha dishi limeyumba yuleHii ananichekesha sana sanaa eti ndoa ya Aly kiba inazima maandamano
We nae, ulitaka afe na umbo lako?Kafa na umbo lake kweli maisha mafupi
Apumzike kwa amani
Ondoa basi hiyo avatar unanitia ukakasi..Mrembo wetu mwenye shape mwanana Agnes Gerald (Masogange) amefariki jioni hii. Chanzo cha kifo hakijajukikana bado.
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
Wadau nilipita Mama Ngoma Health Centre Mwenge na kukuta watu wakilia kuuliza naambiwa Video Queen Masogange amefariki muda mfupi uliopita.
=========
UPDATES:
=========
Video queen maarufu Bongo Agness Gerald maarufu kama Agness Masogange amefariki Dunia leo katika Hospitali ya Mama Ngoma Mwenge jijini Dar Es Salaam.
Alikuwa anasumbuliwa na Homa ya matumbo pamoja na tatizo la kupungukiwa na damu.
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi.
Mange akawii kusema masogange amefariki ili kuvuruga maandamano
NTatoa booOndoa basi hiyo avatar unanitia ukakasi..
Mkuu mimi ni muislam, najua na naelewa haifai kuombeana mabaya kwasababu Mungu ndio anapanga lolote kwa mja wake.