Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Duh mkuu itabidi tukate rufaa
Usikate Rufaa bn, Kanumba Atakulaumu sana...Duh mkuu itabidi tukate rufaa
nionyeshe mahakama pls
Sijui alikua anaumwa Nini hasaView attachment 751205
Mwisho wa kila kitu ni kifo tu. Uwe na jeuri, uwe mwema utadead tu siku yoyote!Mwisho wa jeuri na maringo ni kifo, tenda mema kabla kifo hakijakukuta
Kifo ni kifo tu dada uzembe ni kuwatafutia sababu wahudumu.. nadhan diagnosis ni typhoid na ndo itakuwa imepelekea anemia
Inategemea umeenda ukiwa stage gani mkuu .. kuna watu wanaenda na unakuta hadi utumbo umeanza kukatika.. jiulize kwann hiyo typhoid imepelekea akaishiwa mpk damuKwani typhoid haitibiki?
Katangulia na utamu wake
Duuh, sio tu maji bila kuchemshwa, ndugu kuna kuosha matunda bila kutumia maji Safi na salama, kuna mikachumbari n. KHivi typhod husababishwa na kunywa maji yasiyochemshwa? Sidhani kama huyu mrembo alikuwa anakunywa maji ya dawasco.
Dhambi ni kuuza unga tu? Wrote tuna dhambi hats we we? Tumepata malipo gani? Acheni kuhukumu nyie.Unapowasambazia watoto wa watu unga ni uuwaji na ukatili wa hali ya juu