Yesu aliuwawa na kumbuka Yesu alikuja kwa kusudi maalumu hapa duniani na hakuwa mwanadamu kama mimi na wewe. Alikuwa mwanadamu kwa asilimia 100 maana alivaa, alikula, alisikia maumivu n.k na alikuwa ni Mungu kabisa kwa asilimia 100. Mwana pekee wa Mungu, aketiye Mkono wa Kuume wa Mungu baba, Yesu pekee ndie Mwana wa Mungu, ndio limbuko letu, ndie mkombozi, ndie atakayetuhuishi tena ile siku ya mwisho. Hakutakuwa na hukumu ya adhabu juu ya walio kwa kristo Yesu.Bwana Yesu alikufa na miaka mingapi?
Tuombeane mema, sisi sio mahakimu wa kweli na tusihukumu watu kwa matendo yao. Ni Mungu pekee ndio hakimu wa kweliTusipepese Maneno, ukiuwa kwa UPANGA utauliwa kwa UPANGA, hakuna kulala pema peponi hapo.
dhambi za watu wengine zi dhahiri, zawatangulia kwenda hukumuni, wengine dhambi zao zawafuta
1timotheo 5:24
Amina, mimi nimeamua kugeuka saa hii.Mkuu swali la msingi tunamtumikia bwana au shetani?Kizazi cha siku hizi waigizaji tu,wanadhani Mungu ni babu yao.Walo kufa washakufa who is next?Me and you.lakini lipo tumaini ukimpokea Yesu leo,Mungu naye anajua fanya mbwembwe zako zote ila wanadamu wote wana one point of intersection it is called "death" hapo wote tunakutana.Usicheze na Mungu,haangalii sura ila ukimtumikia huwa anakupa taarifa kabisa kabla hajakuchukua.
HaleluyaaaYesu aliuwawa na kumbuka Yesu alikuja kwa kusudi maalumu hapa duniani na hakuwa mwanadamu kama mimi na wewe. Alikuwa mwanadamu kwa asilimia 100 maana alivaa, alikula, alisikia maumivu n.k na alikuwa ni Mungu kabisa kwa asilimia 100. Mwana pekee wa Mungu, aketiye Mkono wa Kuume wa Mungu baba, Yesu pekee ndie Mwana wa Mungu, ndio limbuko letu, ndie mkombozi, ndie atakayetuhuishi tena ile siku ya mwisho. Hakutakuwa na hukumu ya adhabu juu ya walio kwa kristo Yesu.
Isaya 9:6
Kama li Nyani Ngabu hahahaa!
Vifo vyote visivyotokana na uzee,chini ya miaka 70 ni mpango wa shetani.Ukimtumikia Mungu wa kweli huwezi kufa mapema.Imeandikwa
Nanyi mtamtumikia BWANA, Mungu wenu, naye atakibarikia chakula chako, na maji yako; nami nitakuondolea ugonjwa kati yako. Hapatakuwa na mwenye kuharibu mimba, wala aliye tasa, katika nchi yako; na hesabu ya siku zako nitaitimiza."
Kutoka 23:25-26
Age 33.Unataka kujua nini mkuu?
Hahaaa!daahAnae ndio tutamuona alikuwa hataki kumpost sababu ya matusi ya mitandao
Ukweli mchungu na unauma sana ila hakuna budi kuupokea.Tusipepese Maneno, ukiuwa kwa UPANGA utauliwa kwa UPANGA, hakuna kulala pema peponi hapo.
dhambi za watu wengine zi dhahiri, zawatangulia kwenda hukumuni, wengine dhambi zao zawafuta
1timotheo 5:24
Kwa Mama Ngoma ni kidispensary?sio kweli mmewe kama sikosei ana kitendo kwenye masuala ya Kansa na ukiwa na pesa ukienda pale unahudumiwa vzr mpk Kansa wanapiga mionzi km sijakoseaNikiangalia reactions, yaonyesha huyu ana umaarufu wake, cha kusikitisha ni kuona mtu anapata mauti kwenye kiji-dispensary cha mwenge. Hii inaonyesha umuhimu wa kuwa na Hospitali za maana na pia kuongeza ufahamu wa watu kuachana na tiba za vichochoroni unapokuwa na matatizo ya hatari kiasi hicho.
Ingekuwa ni dhalula, ningeelewa lakini kupelekwa dispensari sijui ya mama fulani! Shame! Tujenge Hospitali tuachane na kuhangaika na ruzuku za vyma vya siasa.
Afu weye!
Hivi wewe Mtui au TUI la Nazi maana wenye jina hilo hawana akili kama zakoTulichopoteza ni hasara kwa taifa zaidi ya hzo trilion 1.5 tunazopigia kelele.
Kwanini uchunguzi huru ufanyike?Du nini chanzo? Uchunguzi huru unahitajika hapa.
Yakobo 4:11-12Tusipepese Maneno, ukiuwa kwa UPANGA utauliwa kwa UPANGA, hakuna kulala pema peponi hapo.
dhambi za watu wengine zi dhahiri, zawatangulia kwenda hukumuni, wengine dhambi zao zawafuta
1timotheo 5:24