Adam Kuambiana Alifia Mama Ngoma HospitalKwa Mama Ngoma ni kidispensary?sio kweli mmewe kama sikosei ana kitendo kwenye masuala ya Kansa na ukiwa na pesa ukienda pale unahudumiwa vzr mpk Kansa wanapiga mionzi km sijakosea
I see. Najua utakuja kukanusha. Na quote kabisa. Baso unaamini ni uzushi?Haina shida, hiyo habar imekaa kinafiki sana ndomana nime jbu kinafiki na mimi. Agnes haja faliki hiyo ni habar ya uzushi tu
Kwa Mama Ngoma hakuna MochwariHABARI ZIMETHIBITISHWA,TAYARI MWILI WAKE UMEHIFADHIWA MOCHWARI MUHI2
RIP MASOGANGE
UMEKUFA NA [HASHTAG]#MZIGO[/HASHTAG] WAKO MATATA
Hayo matatizo ya kupungua dam kaanza lin,.....mhhhjNipo Hospital ya Mama Ngoma ni kweli amefariki kwa upungufu wa damu
tena she is true copy of her mama...wamerandana mnoKumbe ana mtoto!!
kikeJaman kumbee anayee,wakiumee au wakikeee et mama Sabrina!!!
Wanasema....Mkuu, unaheshima sana hapa jukwaani!! Naona Heshima yako unaidhalilisha. Yanini kumhukumu marehemu?!
Mmh...Asante na niwie radhi kwa nilichoandika... Ila Sidhani kama kitabadili ukweli.... Lugha imekuwa ya ukakasi kidogo lakini inapobidi lazima itumike...
Hahahaa! Bora na wewe umemjua kua jamaa ni hodari sana wa kuchukua habari google kisha kuzitafsiri na kuzileta humu huku akijifanya ni zake!!Wanasema....
Ukiizowea sana Google...basi ujue baadhi ya wakati itakufanya gogo @!
Kweli mkuu...mkuu kuna watu wanadhambi kama viongozi wa mataifa "" hizo dhambi alizonazo zakawaida tu ..kutoa .mimba .kuliwa either papuchi au 0712...na ukimuona mtu anaanza kumnyooshea mwenzie kidole kuhusu kuwa mdhambi ...aisee weka pause"" Maana hakuna aliyemsafi "" vifua vyetu vimehifadhi mengi mnoo"""
Nilijua tu...litarudi kwa speed ya mwanga gizani...Speak for yourself.
You didn't have to be an obnoxious pompous jerk and quote me.
Mmh...[emoji40][emoji40]Matoleo ya kafara za kuhamisha mawazo ya watu kuelekea 26/4
Naona kiki za wiki iliyopita hazijatosha na pia ajali za mabasi mfululuzo ikiwemo basi kuungua juzi likiwa na abiiria Ndani bado haitoshi
Kuelekea wiki ijayo ma super star kuweni Makini mtatolewa Sana sadaka kama hii ya Masogange haitatosha kusababisha social media zisahau 1.5 t na 26 April
Paulo kamtoa demu wake kafara
Mungu amrehemu Binti wa watu
Kwa Mama Ngoma hakuna Mochwari
Watakumbuka wapi ...wakati wao wanafanya ni wasafi??RIP Agines.
Mnaochangia Mkumbuke marehemu hasemwi/hasimangwi.
mara madawa, hata mm sielewi, naona picha picha tuMara pumu,mara Anemia,mara sijui typhoid wajameni