TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Watakumbuka wapi ...wakati wao wanafanya ni wasafi??
Wanga jaani haoooo.. .
Sawa pamoja na udhaifu wake....lakini angalau basi mtu atumie lugha nyepesi....
Unaona twana linakurupuka na kichwa chake bununu lina tapika tu...kwa Mungu si mbaya pengine alitubu.. na sisi hatujui tutakufaje...pengine juu ya kinena...kwa zinaa hiyo hiyo...
Tartibu waungwana....nani msafi kama mtoto mchanga hapa ?
Wewe unatumia mawazo ya kale kutishia watu. Enzi zimebadilika. Ukiishi katika matendo mabaya utasemwa hata kama umefariki. Huku siyo kuhukumu ila watu wanaelezea maisha yake yalivyokuwa. Kila binadamu anaandika historia ya maisha yake wakati wa uhai. Anapofariki jamii ''huisoma''. Hapa watu wanajaribu ''kusoma'' historia aliyoiandika mwenyewe.
 
pombe na unga kipi hatari na kinaleta vifo vingi????,alcohol ni drugs kama unga ila serikali inapata kodi..deadly poison on earth..
Usifananishe drugs na pombe tafadhali, drugs ni kitu kingine kabisa.
 
Huenda mtoto alikuwa akitaka matumizi makubwa lakini mama kwa kutotaka kumzoesha hela akiwa mdogo yeye akawa anatoa kulingana na umri wa mtoto ili asizoe starehe udogoni
Anasoma shule za kata 'Elimu bure'kweli?
 
Ebu kasome vizuri tena walao ujue tofauti ya mtu mwenye HIV na mwenye AIDS, unaweza kuwa HIV+ na usiwe na AIDS (UKIMWI). HIV ni mojawapo ya visababishi vikubwa vya HIV, kwa wanaoanza kutumia dawa mapema wakati CD4 zikiwa bado juu si rahisi kufikia stage ya kuwa na AIDS.
Ujaribu kunifundika kitu ambacho huenda nakijua kuliko wewe!
 
Basi hili la kusema alikuwa na hela nyingi za ngada huenda pia ni majungu yetu sie wanadamu
Unawajua wasanii?maisha yao wanawekeza kwenye starehe tu wakiamini wataishi milele yote tena hawa mapunda ndo kabisaa wanakula ujana tu
 
Achana na hadithi zako hizo, peleka kanisani kwani unaandika kama vile una ushaihidi na unachokisema. We unamjua baba yake Yesu? Unajua kwa nini Joseph aliamua kukubali yaishe? Unajua sababu halisi za Yesu kuwambwa msalabani ukiachana na hayo unayosoma kwenye Biblia, unajua kuwa alikufa na kamwe hakufufuka?. Acha tumtakie pumziko jema Aggy na Mungu amrehemu.

Siwezi kumbishania mtu aliekua anabeba sembe, Maneno yangu hayatatanguka kwake kama atazikwa KIKRISTO bali tu akizikwa KIPAGANI
 
Nina swali moja tu.
Je dada Mange akuja kuongoza hayo maandamano?
Atakuwepo au atawaingiza kingi wafuasi wake?
Naongezea swali: wale wanasiasa wanaozuia maandamano, wataenda kusukumana na waandamanaji kuwazuia ama?
 
Mara nyingi kama unatumia madawa hasa hasa heroine halafu ukisitishiwa ghafla au ukiyatandika kupita kiasi utaishia kufa. Sina maana ya kuwa Huyu binti amefariki kwa sababu ya madawa
 
Jana shilawadu walitaka kurusha skendo yake ya kutomhudumia mtoto wake ambae anaishi Kigogo na shangazi yake ghafla wanapata taarifa za msiba



Mara nyingi kama unatumia madawa hasa hasa heroine halafu ukisitishiwa ghafla au ukiyatandika kupita kiasi utaishia kufa. NB: Sina maana ya kuwa Huyu binti amefariki kwa sababu ya madawa
 
Jana shilawadu walitaka kurusha skendo yake ya kutomhudumia mtoto wake ambae anaishi Kigogo na shangazi yake ghafla wanapata taarifa za msiba
Heeee kumbee ndio maana nilikuwa naona shilwadu wanajiandaa kwelii,,
Naomba kuuliza Aggy alikuwa anavaa vizuri sana alikuwa ana ofisi wapi muda wote yupo kimtoko!
Na kupendeza kote kule hamuhudumii mwanae ??yatajulikana tu
 
Hata angekuwa mwizi, jambazi,n.k

The matter of fact hata mimi sijakamalika na wewe pia inatosha kabisa kutomhukumu tena akiwa amepoteza maisha yake.

We unaejifanya mtakatifu sawa, ila hekima na busara ndogo tuu ya kibinadamu inatuongoza tusimuongelee kwa ubaya marehemu, pengine wewe unayemuita muuaji una maovu makubwa na mabaya zaidi yake au mimi ninayeandika hapa ukute ni zaidi ya muuaji sema kwa vile hatujuani ndio maana tuna viburi vya kumuita marehemu muuaji na majina mengineyo.
Kumbe na wewe umeaua na kuharibu watoto wa watu kwa madawa!
 
Heeee kumbee ndio maana nilikuwa naona shilwadu wanajiandaa kwelii,,
Naomba kuuliza Aggy alikuwa anavaa vizuri sana alikuwa ana ofisi wapi muda wote yupo kimtoko!
Na kupendeza kote kule hamuhudumii mwanae ??yatajulikana tu
Jamaa wa mochwari watamfaidi sana watamsafisha vilivyo ule msambwanda
Kuhusu Swali lako la ofisi yake ni Ipi jibu ni ule msambwandaz wake si ndyo ulikuwa mtaji wake

Ova
 
Back
Top Bottom