Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Dah!mi najua kua ana mtoto nikajua anamhudumia kumbe hamhudumii hata kidogo kaahtena she is true copy of her mama...wamerandana mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!mi najua kua ana mtoto nikajua anamhudumia kumbe hamhudumii hata kidogo kaahtena she is true copy of her mama...wamerandana mno
HahahaaaaaDah....Binadamu angekuwa anauzwa kama chuma chakavu ningelinunua lile tako nikamvishe mchepuko wangu mmoja.
Maana anapata tabu sana kulitafuta tako.
Umejuaje hamhudumii?Dah!mi najua kua ana mtoto nikajua anamhudumia kumbe hamhudumii hata kidogo kaah
pombe na unga kipi hatari na kinaleta vifo vingi????,alcohol ni drugs kama unga ila serikali inapata kodi..deadly poison on earth..Utasikia Alikuwa ni dada,shangazi,mama,mamdogo n'a bla bla nyiiingi. Kwamba asisemwe Kisa tutaumiza ndugu. Ndugu ambao walifaidika n'a biashara haramu y'a ndugu yao wakakaa kimya.
Ndo ukweli ulivyo mtotoUmejuaje hamhudumii?
Sijakuelewa mkuu naomba unipe ufafanuzi vizuri!Uoga tu wa watawala sidhani kama kutakuwa na Maandamano........wamemkatili tu Bint wa watu.
Hela si anazo nyingi inakuwaje hamhudumii mtoto moja wa kipekee? Bila shaka huu uzushi!!Dah!mi najua kua ana mtoto nikajua anamhudumia kumbe hamhudumii hata kidogo kaah
Imani ni very personal business na ndo maana inapendeza ikitumika mahali husika.Sijui ni Mungu yupi unamzungumzia, ndo maana tumetofautiana ktk imani juu ya huyo Mungu. Waamini Yesu hakufufuka ila mimi naamini ALIFUFUKA.
Mtakie pumziko jema na mungu wako amerehemu ila Mungu aliyeumba mbingu na nchi rehema zake ni mtu anapokuwa hai tu na sio baada ya kufa, ondoleo la dhambi lipo kwa ajili ya wanadamu walio hai na si kwa ajili ya wafu.
Hamna bhanaah, acha kusikiliza habari za kitaaNdo ukweli ulivyo mtoto
SawaHamna bhanaah, acha kusikiliza habari za kitaa
KutukuzwaHivi kuhimidiwa ni kufanyaje...naomba nieleweshwe tafadhali.
Ni wewe na mashetani yako ya ngono na ukome kusema wanaume wengi tafadhaliKwa Mara ya kwanza wanaume wengi tumekuwa inspired kufanya kazi mochwari
Mtoto alikua analalamika mama ake hamhudumii na hamjali anaishi Kigogo na shangazi yakeHela si anazo nyingi inakuwaje hamhudumii mtoto moja wa kipekee? Bila shaka huu uzushi!!
Mi kitu nachojiuliza kafanikiwa kujenga au kununua nyumba yake au alikuwa akiishi kwa wazazi?Sawa
Alipanga Makongo!kujenga sina hakikaMi kitu nachojiuliza kafanikiwa kujenga au kununua nyumba yake au alikuwa akiishi kwa wazazi?
Na yeye afe ili tushiriki siku hiyo.Hivi akifa mtu maarufu unakuwa ni msiba wa kitaifa eti eeeh,
Wote mshiriki wewe na nani? Kwanini unawasemea wenzako?
Huenda mtoto alikuwa akitaka matumizi makubwa lakini mama kwa kutotaka kumzoesha hela akiwa mdogo yeye akawa anatoa kulingana na umri wa mtoto ili asizoe starehe udogoniMtoto alikua analalamika mama ake hamhudumii na hamjali anaishi Kigogo na shangazi yake
Watu tunamajonzi ya kufiwa na mpendwa wetu wewe unatuletea habari za maandamano. Hizo issues peleka jukwaa la siasaAhsante kwa matusi , imekugusa pole!