TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Mkuu km hujui Yesu alikufa kwa kosa LA uhaini,
 
Acha upumbavu..

Hata angeacha bilioni kwenye account zake ..unafikiri mtu akifa unaenda kujichotea tuu hela bank .. nyambafu kabisa

Halafu unaweza ukawa unahoji account za watu huku ukiwa huna kitu
 
Heeee kumbee ndio maana nilikuwa naona shilwadu wanajiandaa kwelii,,
Naomba kuuliza Aggy alikuwa anavaa vizuri sana alikuwa ana ofisi wapi muda wote yupo kimtoko!
Na kupendeza kote kule hamuhudumii mwanae ??yatajulikana tu

Jamani si uko mjini, hujui kutupia picha vile na mitako nje nje ndio tunamtafuta kwa speed kitu msambwanda bana? Au biashara hujui ni matangazo, alikuwa kifaa basi tu, kwaheri Aggie
 
Nilijua tu...litarudi kwa speed ya mwanga gizani...
Otoro...unalikoki....likiwaka usiombe pooh!
We haya weeh.....
Thread ya msibani. Watu wanataka kulianzisha.

Hata marehemu hajazikwa!
 
alikua sio bongo movie ndio.
lakin alikua Ana zurura nao mjini
 
Muuza ngada na papuche kavuta Pole kwa wazazi na Jamaa zake ila ni faraja kwa wazazi WA mateja mi sijaumia wala nini alale mbele msambwanda akamuuzie lucifer....
 
Biblia yangu imeandikwa akikubali kufa kwa ajili ya kuukomboa ulimwengu. Hakuna palipoandikwa amejiua/ametoa uhai wake yeye mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…