Pia kuna vitabu vingine sio Biblia vimemuongelea huyo Yesu kwa namna nyingine, karibu maandiko mengi yanakubali kuwa mtu aliyeitwa/kujiita yesu alikuwepo akawa msumbufu kwa utawala akijiita mfalme wa wayahudi huku akijua kuwa upo utawala tayari. Na wanakubali alisulubiwa, adhabu ya kawaida kwa wakati huo kwa makosa aliyoshtakiwa nayo, akafa, akazikwa ikatoka.Biblia yangu imeandikwa akikubali kufa kwa ajili ya kuukomboa ulimwengu. Hakuna palipoandikwa amejiua/ametoa uhai wake yeye mwenyewe
Mungu si Athumani mkuu, naona tunakomaa kweli kumpangia au kufikiri kwa niaba yake nini atakifanya kwa waje wake wanaotangulia mbele ya Haki. Ni kitu cha ajabu sana kwa binadamu kutumia nguvu kujadili ya kitakachotokea baada ya kufa, hiyo ni kazi yake maulana na hafanyi kazi kwa akili na namna yetu ya kufikiri. RIP AGGYAfter this life ni vile ulivyoyaandaa! RIP prayers zingekuwa ni kweli, zingewapeleka wengi kwenye hiyo peace maana mnajitahidi sana kuwaombea!
Mungu hadhihakiwi, unachopanda ndicho utakachovuna (Wagalatia 6:7~8). Haitatokea kamwe (irrespective your prayers~sijui RIP), uishi duniani maisha yasiyompendeza Mungu halafu baada ya kufa ukarithi eternal peace kwa maombi ya RIP!
Inaua vizuri sana, tena ukichelewa tiba ni shidahivi homa ya matumbo huwa inaua kweli???ndo kwanza nasikia Leo..
Case ya akwlina bashite hahusiki kabisa
Culture girl, your very clever girlkwann unahisi huu msiba umewagusa wanaume?
wewe hujaumia kuona mwanamke mwenzako aliyeacha mtoto mdogo amekwenda?
wewe haijakuumiza kuona kijana mdogo wa miaka 29 akipoteza uhai wake just like that huku ndoto zake zikizima kama mshumaa?
Me naona ifike mahali tuwe na staha katika maandishi yetu sababu sotw ni binaadam na sote ni njia moja, pia tujue kua kifo ni mawaidha kwa wanaobaki,
Agness amefariki hospital kwa Typhod na Anemia hujui wewe utakufaje na wapi, utapondwa na roli uwe kama chapati watu wakuogope hata kukushika, utaungua na moto hata kuoshwa iwe shida uvishwe plastic, utakufa baharini uwe chakula cha samaki watu wasione maiti yako,
utakufa kwa kipindu pindu ndugu washindwe kukuzika uzikwe na city huku wamevaa mask na gloves.
Yote hayo mjitafakari kabla msiba wa mwenzenu hamjaugeuza kua wa kimajungu na fitna.
Message hii iende kwa wote waliodiss kuanzia comment za mwanzo mpk wanaoendelea kudiss.
Am out.
Thank you darlin, as you are.Culture girl, your very clever girl
Mange atasema Marehemu anataka kuzima maandamano.
Wagalatia 6:7~8Mungu si Athumani mkuu, naona tunakomaa kweli kumpangia au kufikiri kwa niaba yake nini atakifanya kwa waje wake wanaotangulia mbele ya Haki. Ni kitu cha ajabu sana kwa binadamu kutumia nguvu kujadili ya kitakachotokea baada ya kufa, hiyo ni kazi yake maulana na hafanyi kazi kwa akili na namna yetu ya kufikiri. RIP AGGY
Uongozi wa hospitali ya Mama Ngoma utupe majibuHakuna taarifa sahihi,kila mtu anasema lake.
1.Homa ya Matumbo(Typhoid)
2.Pumu.
3.Upungufu wa damu.
4.Pneomonia(homa ya mapafu)
5."KIFUA"
?????? Which is which???
ww ndio chiz, huyu anaitwa Video Queen au bongo movie quuenNasema movie wew waweka video umeshtua nini
Kwa nn hivyo inamana wamemuua?Wameona wamtangulize maana angetaja mabosi wake wanaomtumiaga kwenye kusafirisha ngada. Ni kama yule aliyesema Lowasa ni baba yake, alipotaja tu na kuomba msamaha mabosi wamemgeuka, sasa anacheza segere la Polisi peke yake.
All in all, RIP.
I miss youuuCCCM presha za 26/04/2018 zitawaua tu hamna namna!
Rafiki it is long time,am missing you too![emoji8][emoji8][emoji8]I miss youuu
kwa kweli huyo dada akili zake Mungu amponye tu.Keshasema mbona tayari...eti kapewa taarifa inasikitisha sana walichomfanyia....yule dada atakuwa anaumwa.
Will be back if GOD wishes rafiki...Rafiki it is long time,am missing you too![emoji8][emoji8][emoji8]