TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

siku zote ukifa na ilhali maarufu ambae umaarufu wako ulitokana na jambo ambalo wengi walikuwa wanalifanya kama wewe basi tambua huna safari ya utajo wa milele au wa muda mrefu.

Kanumba kafa mda sana lakini kile ambacho alikuwa anakifanya kuna ambae alifikia ubora wake?
Ta.ko lote lile unadhani tutamsahau kirahisi rahisi wewe...wapenzi wa wowowo tuna majonzi makubwa sana bado pengo lake halizibiki yule dada
 
siku zote ukifa na ilhali maarufu ambae umaarufu wako ulitokana na jambo ambalo wengi walikuwa wanalifanya kama wewe basi tambua huna safari ya utajo wa milele au wa muda mrefu.

Kanumba kafa mda sana lakini kile ambacho alikuwa anakifanya kuna ambae alifikia ubora wake?

lakini ni mtu anatajwa mpaka leo na kazi zake zinafahamika.

Lakini tukija kwako wewe ambae umekufa na ilhali ulikuwa na skendo chafu ambazo zimethibitika ni kweli mpaka ikafika hatua kushtakiwa na kulipa dhamana kwa kosa ambalo wengi katika watu wanaumia na kuteseka watoto wao basi jua huna utajo mwema wa muda mrefu.

hakuna kitu kibaya kama madawa ya kulevya ambayo tunapoteza watu na vijana kwa sababu hii moja wapo na tanzania tumeona madhara yake japo yana pesa.

neno langu ni kwamba wauza unga wote mfano wa dada masogange vifo vyao haitakuja kudumu kabisa na watasahaulika kama kuna watu walikuwa wao kutokana na kufa katika umaarufu ambao wakati hajafa wwngi walikuwa wanaufanya..

sina bifu na mtu lakini tambueni tu muuza unga yeyote atakufa kifo cha kufedhehesha na kusahaulika mara moja kutokana na kufanya ufisadi wake wa unga na kuharibu jamii ya watu wengi.

povu ruksa

Hana lolote la maana linaloweza kusimama na kumtetea baada ya yeye kwenda. Talent that has just been lost!!

Ninawachukia sana hawa jamaa wanaowageuza wasanii punda wa kusukuma mizigo yao. Kama ningepata nafasi na kama kuwasulubu sio makosa kwa kweli ningewakata mtama...msambwanda mzuri namna ile uko futi sita chini just like that...
 
Habari wana jamii, nimesikitishwa sana na kifo cha Video quen maarufu Agnes Gelard almaarufu Masogange, Pia nimesikitishwa hasa na watanzania tulivyo kuwa hatuna utu yaaninkuna watu wanmpost Agnes mitandaoni huku wakitoa na maneno ya kashfa ambayo hayafai kumtole Maiti kingine ambacho nashindwa kuelewa na nimesikitishwa zaidi ni jinsi picha ambazo watanzania wanatumia kumpost humo mitandaoni marehemu Masogange yaani ni picha chafu ambazo hazina maadili kwa umma nnacho kishangaa ni jee Masogange hana picha nzuri za staha ambazo watu wanaweza kuzitumia kuposti mitandaoni kushow apreciation? au ndio muendelezo wa kumzihaki marehemu?.

Kitu kingine ni hili swala la watu wanaohoji na kuhusisha kifo cha masogange na kikundi cha watu furani, yaani watu wanaamini Masogange hajafa bure yaani kuna watu wanahusika katika kifo chake, yaani kwa maana hiyo watu wanapuuza taharifa zilizotolewa hospitali kuwa marehemu alilazwa kwa siku nne kwa maradhi ya Pumu pamoja na upungufu wa damu,Nadhani wengi tunajuwa pumu likikubana unakuwa katika hali gani. Mimi mwenyewe nimeshawahi kuumwa Pumu mara kadhaa katika umri wangu kwa hiyo na declare interest Pumu ni ugonjwa hatari sana pale linapokuamulia kukushika haswa maana linahusiana moja kwa moja na mfumo wa upumuaji,Pia tunajuwa madhara ya upungufu wa damu lakini pia tujuwe kuwa Masogange hakupelekwa hospitali bali hospitali alikwenda yeye mwenyewe baada ya kuzidiwa na ugonjwa wa pumu.

Naumia sana nnapo waona watu niliyokuwa nawaheshimu kama Mshana Jr naye ni miongoni mwa watu wanaohusisha kifo cha masogange na kikundi cha watu furani kupitia post zake tofauti zilizopo humu jukwaani.

Nnacho kiona hawa watu wote wanaokihusisha kifo cha masogange na kufanyiwa njama na watu flani naona ni upungufu wa akili pamoja na ukosefu wa kazi za kufanya kutokana na fikira zao finyu.

Masogange kafa kama Mwenyezi Mungu alivyotuambia katika Qur'an "Qullinafsi Dhaaikatul Mauti" Kila nafsi yenye uhai au yenye roho itaonja umauti. Kikubwa niwahusiye nafsi zenu wana jukwaa pamoja na kuihusia nafsi yangu jamani tumcheni Mola wetu haya maisha ya duniani ni mafupi mno huyo Masogange kafa nadhani hata miaka 35 hajafikisha leo yeye Masogange kesho ni mimi au wewe unaesoma uzi huu, jee umejiandaaje na siku yako ya kufa jee umejiandaaje na safari yako ya mwisho ya kurudi kwa Mola wako. Tuacheni kuchukulia matatizo ya watu wengine na kuyahusisha na masuala ya kisiasa. Kuna watu walinishangaza zaidi eti wanahitaji Postmoterm ya kifo cha Masogange wakati wanajuwa fika kama marehemu alikuwa anaumwa Pumu, jee wangapi hawajuwi kama pumu linauwa? nadhani wote tunajuwa kuwa Pumu linauwa na ndilo lililosababisha kifa cha mpendwa wetu Masogange.

Mwisho nitowe ushauri kwa wadada wote watakao soma uzi huu, tuangalie sana picha tunazozipost kwenye mitandao yetu ya kijamii zinaweza kuja kukuharibia sifa zako hapo baadaye maana picha zako zinaishi wewe mwenyewe hauishi muda mrefu. Agnes Masogange awe funzo kwenu maana R.I.P zote anazopewa ukianga photo attachment moyo razima uume hii nikutokana ndio picha nyingi alizokuwa nazo labda kwenye akaunti zake za social media. Lakini hata kama mtu alikuwa na matendo mabaya kwa wewe hnavyohisi sio vizuri kutoa aibu zake hadharani maana kwa sisi waislamu Mtume Muhammadi S.A.W anasema msithubutu kutoa aibu za maiti zenu hilo sio jambo jema kabisa.

Mwisho kabisa nasikitika Marehemu Masogange kaondoka hali yakuwa ndoto zangu hazijakamilika hata kidogo. Hakuna anayebisha Marehemu alikuwa ni mrembo haswa na mimi ni miongoni mwa wanaume wachache sana tuliyofanikiwa kuuona uzuri wa Masogange na nilikuwa nipo kwenye process za kutaka kwenda kwao na kupeleka barua ya uchumba. sio siri nimesikitika sana basi japo hata ningepata japo hata salamu yake tu kabla hajafa ili atleast ndoto yangu ifikie japo hata robo.

All in all Mungu ailaze roho ya marehemu Agness mahali pema peponi na Mwenyezi Mungu ampe kauli thabiti marehemu.

Ombi kwa Moderetors naomba uzi wangu msiiunganishe na uzi wa Mshana Jr haufanani hata kidogo naombeni sana maana nilipost uzi wangu wa kwanza mkauunganisha na wa Mshana Jr nawaombeni huu nimepost tena nawaomba msiuungani na ule zui tafadhalini sana.
 
Hana lolote la maana linaloweza kusimama na kumtetea baada ya yeye kwenda. Talent that has just been lost!!

Ninawachukia sana hawa jamaa wanaowageuza wasanii punda wa kusukuma mizigo yao. Kama ningepata nafasi na kama kuwasulubu sio makosa kwa kweli ningewakata mtama...msambwanda mzuri namna ile uko futi sita chini just like that...
hahaha mkuu unazingua kinoma
 
wewe kwani hujuwi kama marehemu alikuwa anaumwa Pumu na alilazwa kwa siku nne ndipo umauti ulipomfikia? Kwani haujuwi kama Pumu inauwa?
Hivi wew umeskia ni Sababu ngapi zilozomuuwa au Unaongea tu jaribu kujiuliza Kwa nini Baada Ya kukataa rufaa Ya kesi yake amekufa
 
Huyu Masongange mbeba madawa ya kuleta ya kuangamiza kizazii cha dunia ikiwemo Tanzania ni nani hasa mpaka eti tukamzike public holiday? Akazikwe na waliokuwa punda wao na mateja aliyozalisha. May she land in helll safely. Sitaki kuwa mnafiki hapa.
 
Hivi wew umeskia ni Sababu ngapi zilozomuuwa au Unaongea tu jaribu kujiuliza Kwa nini Baada Ya kukataa rufaa Ya kesi yake amekufa
Kwa mujibu wa maelezo yake mwenyewe marehemu akihojiwa na kituo flani cha redio alisema kwamba kesi iliisha na yeye alitakiwa kulipa pesa ambayo ni millioni moja na point something na ameshalipa sasa yupo huru na anafurahi kwa kuwa huru kwa sasa. Wewe tena unakuja kunambia kuwa walikata rufaa jee wewe na marehemu nani tumuamini?
 
MANGE KIMAMBI ASEMA AHESABU MATUSI ANAHESABU MAHELAAA
mwinyi blog 5 years ago Entertainment News



Mange Alikuwa Arusha Ambapo Alipeleka Vitu vya Kuuza Kutoka Ulaya Hizo ndio Picha na Maneno aliyoandika kwenye Website yake..........

HIKI NDICHO ALICHO ANDIKA....
"NYIE WALALA HOI MIE SIHESABU MATUSI NAHESABU MAHELAAAAAAAA...

MKIMALIZA KUTUKANA NJOONI NIWAPE AJIRA.
....LOLEST!!!!!

SIJIBISHANI NA WACHOVU...........

NDO KWANZAAAAA NATENGEZA MAHELAAA NA MUME ANANISUBIRI KWA HAMU,

MTACHONGA SANA HAACHWI MTU NA BONGOLICIOUS NDO MAMBO YOOOOTE.......

MWAKA HUU MTAISOMA NUMBERRRR.......

HATA MUONGEE NINI MIE NDO MANGE KIMAMBI NA MTAENDELEA KU KISS THE

GROUND I WALK ON........." Says Mange
MANGE KIMAMBI ASEMA AHESABU MATUSI ANAHESABU MAHELAAA - MWINYI BLOG
Sawa tutaandamana...
Hii ni post ya zamani mno ya mange kipindi hata hajaachika.
 
Maelezo ya madokta wanasema kuwa marehemu amefariki kutokana na ugonjwa wa Pumu ambao ulimfanya alazwe hospita kwa siku nne na ni ugonjwa ambao huwa ulikuwa unamsumbua sana marehemu kipindi cha uhai wake
 
Habari wana jamii, nimesikitishwa sana na kifo cha Video quen maarufu Agnes Gelard almaarufu Masogange, Pia nimesikitishwa hasa na watanzania tulivyo kuwa hatuna utu yaaninkuna watu wanmpost Agnes mitandaoni huku wakitoa na maneno ya kashfa ambayo hayafai kumtole Maiti kingine ambacho nashindwa kuelewa na nimesikitishwa zaidi ni jinsi picha ambazo watanzania wanatumia kumpost humo mitandaoni marehemu Masogange yaani ni picha chafu ambazo hazina maadili kwa umma nnacho kishangaa ni jee Masogange hana picha nzuri za staha ambazo watu wanaweza kuzitumia kuposti mitandaoni kushow apreciation? au ndio muendelezo wa kumzihaki marehemu?.

Kitu kingine ni hili swala la watu wanaohoji na kuhusisha kifo cha masogange na kikundi cha watu furani, yaani watu wanaamini Masogange hajafa bure yaani kuna watu wanahusika katika kifo chake, yaani kwa maana hiyo watu wanapuuza taharifa zilizotolewa hospitali kuwa marehemu alilazwa kwa siku nne kwa maradhi ya Pumu pamoja na upungufu wa damu,Nadhani wengi tunajuwa pumu likikubana unakuwa katika hali gani. Mimi mwenyewe nimeshawahi kuumwa Pumu mara kadhaa katika umri wangu kwa hiyo na declare interest Pumu ni ugonjwa hatari sana pale linapokuamulia kukushika haswa maana linahusiana moja kwa moja na mfumo wa upumuaji,Pia tunajuwa madhara ya upungufu wa damu lakini pia tujuwe kuwa Masogange hakupelekwa hospitali bali hospitali alikwenda yeye mwenyewe baada ya kuzidiwa na ugonjwa wa pumu.

Naumia sana nnapo waona watu niliyokuwa nawaheshimu kama Mshana Jr naye ni miongoni mwa watu wanaohusisha kifo cha masogange na kikundi cha watu furani kupitia post zake tofauti zilizopo humu jukwaani.

Nnacho kiona hawa watu wote wanaokihusisha kifo cha masogange na kufanyiwa njama na watu flani naona ni upungufu wa akili pamoja na ukosefu wa kazi za kufanya kutokana na fikira zao finyu.

Masogange kafa kama Mwenyezi Mungu alivyotuambia katika Qur'an "Qullinafsi Dhaaikatul Mauti" Kila nafsi yenye uhai au yenye roho itaonja umauti. Kikubwa niwahusiye nafsi zenu wana jukwaa pamoja na kuihusia nafsi yangu jamani tumcheni Mola wetu haya maisha ya duniani ni mafupi mno huyo Masogange kafa nadhani hata miaka 35 hajafikisha leo yeye Masogange kesho ni mimi au wewe unaesoma uzi huu, jee umejiandaaje na siku yako ya kufa jee umejiandaaje na safari yako ya mwisho ya kurudi kwa Mola wako. Tuacheni kuchukulia matatizo ya watu wengine na kuyahusisha na masuala ya kisiasa. Kuna watu walinishangaza zaidi eti wanahitaji Postmoterm ya kifo cha Masogange wakati wanajuwa fika kama marehemu alikuwa anaumwa Pumu, jee wangapi hawajuwi kama pumu linauwa? nadhani wote tunajuwa kuwa Pumu linauwa na ndilo lililosababisha kifa cha mpendwa wetu Masogange.

Mwisho nitowe ushauri kwa wadada wote watakao soma uzi huu, tuangalie sana picha tunazozipost kwenye mitandao yetu ya kijamii zinaweza kuja kukuharibia sifa zako hapo baadaye maana picha zako zinaishi wewe mwenyewe hauishi muda mrefu. Agnes Masogange awe funzo kwenu maana R.I.P zote anazopewa ukianga photo attachment moyo razima uume hii nikutokana ndio picha nyingi alizokuwa nazo labda kwenye akaunti zake za social media. Lakini hata kama mtu alikuwa na matendo mabaya kwa wewe hnavyohisi sio vizuri kutoa aibu zake hadharani maana kwa sisi waislamu Mtume Muhammadi S.A.W anasema msithubutu kutoa aibu za maiti zenu hilo sio jambo jema kabisa.

Mwisho kabisa nasikitika Marehemu Masogange kaondoka hali yakuwa ndoto zangu hazijakamilika hata kidogo. Hakuna anayebisha Marehemu alikuwa ni mrembo haswa na mimi ni miongoni mwa wanaume wachache sana tuliyofanikiwa kuuona uzuri wa Masogange na nilikuwa nipo kwenye process za kutaka kwenda kwao na kupeleka barua ya uchumba. sio siri nimesikitika sana basi japo hata ningepata japo hata salamu yake tu kabla hajafa ili atleast ndoto yangu ifikie japo hata robo.

All in all Mungu ailaze roho ya marehemu Agness mahali pema peponi na Mwenyezi Mungu ampe kauli thabiti marehemu.

Ombi kwa Moderetors naomba uzi wangu msiiunganishe na uzi wa Mshana Jr haufanani hata kidogo naombeni sana maana nilipost uzi wangu wa kwanza mkauunganisha na wa Mshana Jr nawaombeni huu nimepost tena nawaomba msiuungani na ule zui tafadhalini sana.
AGY NI PUBLIC FIGURE SIYO ILE YA SERIKALI UNAYOIJUA, KIFO CHAKE WATU HAWAWEZI KUKAA KIMYA BILA KUJADILI NA KUANGALIA MTIRIRIKO WA JAMBO ULIVYOTOKEA KEEP IN MIND KWAMBA KIFO CHAKE KIMEGUSA VYOMBO VYOTE VYA HABARI USITUTOE KWENYE NJIA WALA USIMLAUMU MSHANA JNR LABDA KAMA UTAKUWA UMETUMWA KWA FAIDA ZAKO NA ZA WALIOKUTUMA
 
Back
Top Bottom