TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Mkuu kuna utata kuhusu kifo cha masogang.NA huyu dada alikuwa ni msanii nyota.Ni vema ukweli uwekwe hadharani.
Sawa mkuu, nakumbuka kuwa utaratibu ni lazima kuwe na walalamikaji kuwa wana wasiwasi na kifo cha marehemu, kama hakuna aliyefile madai hakuna atakayetoa ripoti kwa umma.
 
Sema wewe huwezi heshimu maiti yake si wote? amewahi kushtakiwa kwa kesi yoyote ya mauaji?unajua maana ya uchi kwa tafsiri sahihi ya kiswahili na hata kwa mila za kitanzania tu. We unaacha kupambana na serikali inayoua watu wake kila siku kwa kutowapa huduma bora za afya, maji n.k huku wakipeleka pesa kwenye maeneo yasio ya kipaumbele, uanze kukashifu marehemu!!!!Tatizo watu wamezidi unafiki na huku ubinadamu ukipungua. Toa boliti jichoni kwako kwanza
[emoji23][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Picha alipiga kwa hiyari yake na alijua kuwa hazina maadili, kwa nn aliziweka mitandaoni? Hii inaonyesha dhahiri kuwa hata yeye mwenyewe muhusika hakuwa na maadili. Sasa kama yeye mwenyewe hakujiheshimu, nani anadhani atamuheshimu hata kama kwa sasa ni marehemu?
Watu wanafiki sana!!
 
Kwanini hiyo hospital inaitwa hivyo Mama Ngoma? Ndio usajili wake huo? Au jina la Daktari maarufu hapo? Siifahamu kwa kweli.

Nipo Kalalangabo kwa Waha hapa. Nielimisheni.
 
I am sorry... Clouds kurusha msiba was masogange live in ujinga Na kupoteza maana

She has never been a public image that any mother , father or husband would dream of

Clouds mmenajisi vipindi vyenu vizuri sana vya jumapili
 
I am sorry... Clouds kurusha msiba was masogange live in ujinga Na kupoteza maana

She has never been a public image that any mother , father or husband would dream of

Clouds mmenajisi vipindi vyenu vizuri sana vya jumapili
clouds wanarusha?,
 
Kesheni huku mkiomba na kusali maana hamjui siku wala saa atakapokuja mwana wa Adamu!
R.I.P Masogange
 
Back
Top Bottom