TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Mkuu kuna utata kuhusu kifo cha masogang.NA huyu dada alikuwa ni msanii nyota.Ni vema ukweli uwekwe hadharani.
Sawa mkuu, nakumbuka kuwa utaratibu ni lazima kuwe na walalamikaji kuwa wana wasiwasi na kifo cha marehemu, kama hakuna aliyefile madai hakuna atakayetoa ripoti kwa umma.
 
[emoji23][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Watu wanafiki sana!!
 
Kwanini hiyo hospital inaitwa hivyo Mama Ngoma? Ndio usajili wake huo? Au jina la Daktari maarufu hapo? Siifahamu kwa kweli.

Nipo Kalalangabo kwa Waha hapa. Nielimisheni.
 
I am sorry... Clouds kurusha msiba was masogange live in ujinga Na kupoteza maana

She has never been a public image that any mother , father or husband would dream of

Clouds mmenajisi vipindi vyenu vizuri sana vya jumapili
 
I am sorry... Clouds kurusha msiba was masogange live in ujinga Na kupoteza maana

She has never been a public image that any mother , father or husband would dream of

Clouds mmenajisi vipindi vyenu vizuri sana vya jumapili
clouds wanarusha?,
 
Kesheni huku mkiomba na kusali maana hamjui siku wala saa atakapokuja mwana wa Adamu!
R.I.P Masogange
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…