TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

vijana wa leo mjiulize na mjifunze,Agnes amefariki je ameacha Legacy gan au jambo gan la mfano na kukumbukwa zaid ya watu ku refer makalio yake makubwa


Mimi Ninamkumbuka Kwa Hile Clip iliyokuwa Viral Kule YouTube ambayo Analiwa Uroda Huku Akiwa Anadance Uchi Mishanga Kibao.
 
mi naona hii ni kwa sababu watu wamekuwa wakiamini kila kitu ambacho yule kahaba kimambi anawaambia yaani watu wamefika mahala wamekuwa kama ngo`mbe hawatumii akili zao kabisa, inasikitisha kwakweli...
Binti akiwa tofauti na mawazo yako anakuwa kahaba??
Ndg jiheshimu acha matusi na dharau sio ustaharabu!!
 

Agnes waya? Mi nilijua baba ake anaitwa masogange
 

Agnes waya? Mi nilijua baba ake anaitwa masogange
 
Alijiua au aliuawa?
Wewe kama waamini biblia ambayo ndiyo imeelezea habari za Yesu,kasoma hapo,"
Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu.
Yohana. 10:17‭-‬18
Ukishindwa kuelewa tafuta kiongozi wako wa kidini akusaidie kutafsiri,kama wewe sio mkristo tafuta ,kiongozi wa imani ya kikristo akusaidie kutafsiri badala ya kubisha mambo ambayo huelewi!
 
Kwanini hiyo hospital inaitwa hivyo Mama Ngoma? Ndio usajili wake huo? Au jina la Daktari maarufu hapo? Siifahamu kwa kweli.

Nipo Kalalangabo kwa Waha hapa. Nielimisheni.
Mwenye Hospital hii anaitwa Dr.Twalib Ngoma,yeye alikuwa Mkurugenzi wa Hospital ya Cancer ya Ocean Road. Kabla ya kustaafu. Jina la Hospital linatokana na Mkewe (Marhum) ambaye alikuwa Mkurugenzi Mwenza kabla hajafariki. Miaka kadhaa iliyopita kwa sasa inaendeshwa na Familia ya Ngoma ambayo imejaliwa Watoto watano kati yao Madaktari watatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…