Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anemia? Aisee kwa nini msingemuongezea damu haraka?Nipo Hospital ya Mama Ngoma ni kweli amefariki kwa upungufu wa damu
BBC imeniaminisha tayari.Njoo nikuaminishe
Na msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... ⚰ Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
Asante na niwie radhi kwa nilichoandika... Ila Sidhani kama kitabadili ukweli.... Lugha imekuwa ya ukakasi kidogo lakini inapobidi lazima itumike...Mkuu, unaheshima sana hapa jukwaani!! Naona Heshima yako unaidhalilisha. Yanini kumhukumu marehemu?!
Mi naweka ya voda wewe weka ya tigo.Tuweke namba mbili lakini
Fuatilia comment yakeNini tena mkuu mbona hivo?
Msamehe hajui alitendalo.Kuna kauli nyingine mtu akiongea zimekaa kuudhalilisha utu wa mwanamke.
Hivi uliwaza nn kuandika hili neno "kutolewa bikra ya kizazi?".
Huoni kwamba limekaa kuutusi utu wa mwanamke?
We mama yako hakukuzaa? Unaona sifa kutusi hata waliokuleta dunian kwa maneno kama haya?
Yap behaviourist ana msiba mzito nyieMi naweka ya voda wewe weka ya tigo.
kafanya dhambi gani ""? hawezi kuwa na dhambi kubwa zaidi ya kutiana tu "" ambayo hata mimi nawewe na members wote wa humu huwa tunaifanya"" ifikie mahali tuache unafiki aisee""Mshahara wa dhambi ni mauti.
fanya kama huoni maisha yaendelee!Fuatilia comment yake
Poleni sana team misambwandainauma sana
Okfanya kama huoni maisha yaendelee!