Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha mapito, kifo sehemu ya maisha hata ukisomesha no wenzio,ukiwa mtu usiojulikana.ukiwa mkimbiza upepo. Tuwatendee mema wenzetu hatujui kesho yetu.Na msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... [emoji1019] Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
Na msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... ⚰ Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
Enjoy your life baby... there's no hellYou are entitled to your opinion, like am entitled to mine.
I know there is God, and I know there is heaven and hell.
In Shaa AllahDunia tunapita kwa wakati wetu huu, tunapita tukiwa wadogo mno kiumri.
Tujitahidi kufanya mwema. Mungu atamuweka mahala pake
Acha wakafaidi wa kuzimu Mkuu.dah mtoto kaondoka na utamu wake aisee[emoji16] [emoji16] [emoji16]
ARDHI INANYONYAAA JAMANIIII SIOO KWA UZURI HUUUNa msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... ⚰ Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
Lisemwalo lipoHivi ni kweli alikuwa anafanya hivyo maana mtaani wengine wanasema anasingiziwa tu.
Sepenga alisema tu, mwanamfalme joka la kibisa... hawezi kuparamia msambwanda kama huu. Labda kama alikuwa anamkuwadia babaake mfalme wa malaika jiwe.Yule mvuta ganja sepenga alivyoitwa ktk kundi la watumiaji au wauzaji wa ngano si alisema Mwanamfalme anamramba huyu ndio mana hajamtaja....!!!
mademu wa mjini ndio desturi yao now days...sasa kama wamuona masogange anadhambi kwaliwa 0712"" vipi kuhusu viongozi wanao sabbisha migogoro baina ya nchi na nchi mpka kufikia ya watu kuuwana na kumwagana mapia ya damu ktika hii ardhi"" trust me hiyo dhambi uliyoisema hapo watu wengi mnoo huwa wanaishiriki ila kwaajili ya unafki wao wanaficha tu """Katoa sana 714
Ova
Naomba radhi kwa kutumia lugha isiyovaa nguoMaisha mapito, kifo sehemu ya maisha hata ukisomesha no wenzio,ukiwa mtu usiojulikana.ukiwa mkimbiza upepo. Tuwatendee mema wenzetu hatujui kesho yetu.
Watu mnajitutumua na vi English vyenu.Few people already know the real cause of death,and that will remain to be their deep secret as per their professionalism
RIP Agness, your attractive female appearence will never seem again live and alive on the surface of this planet but your beautiful images will continuee to capture peoples attention.
Nimeshaomba radhiSa
Sanifu za nini kwenye msiba jamani. Rip dada wa watu. Zaaaambi mwee. I
Umeandika kweli tupu!! Zinaa ni laana kubwa!! Ukiishi kwa kutegemea zinaa utakatika ghafla!!Asante na niwie radhi kwa nilichoandika... Ila Sidhani kama kitabadili ukweli.... Lugha imekuwa ya ukakasi kidogo lakini inapobidi lazima itumike...
Ule mshepu shoga. Kafa mzuriShoga unaujua utram wake?teh