Hivi ni kweli alikuwa anafanya hivyo maana mtaani wengine wanasema anasingiziwa tu.
Alikua akifanya nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni kweli alikuwa anafanya hivyo maana mtaani wengine wanasema anasingiziwa tu.
Mzee ulikuwa jela nini? Uzi umeshaanzishwa upo page ya 17 wewe ndio unakuja na taarifa hii? Kabla ya kutoa habari JF kwanza search kama imeshaanzisha au lah...Habari ipo humu karibia lisaa limoja na 30 iliyopita.Video Vixen maarufu nchini Agness Masogange amefariki dunia mchana huu. Chanzo kutoka kwa mtu wake wa karibu kimethibitisha kutokea kwa kifo hicho.
Tunafuatilia kwa karibu kukujuza nini ambacho kinaendelea kuhusiana na msiba huo
Muungwana blog.
Achana nae umesahau unafiki wa humumademu wa mjini ndio desturi yao now days...sasa kama wamuona masogange anadhambi kwaliwa 0712"" vipi kuhusu viongozi wanao sabbisha migogoro baina ya nchi na nchi mpka kufikia ya watu kuuwana na kumwagana mapia ya damu ktika hii ardhi"" trust me hiyo dhambi uliyoisema hapo watu wengi mnoo huwa wanaishiriki ila kwaajili ya unafki wao wanaficha tu """
Nisamehe mkuiwe kuwa sereus usilete ujinga ...ujui sisi wanaume tumeumiaje.
Mke wa Bashite ana nini? Nani kamsaidia?Albert Bashite hajawahi kumwacha mtu salama!
Mimba ya mkewe Bashite ikoje na huu mshtuko wa mke mwenzake?
R.I.P Agness!
Kuna watu hawapendi ukweli kisa mtu keshanyamaza hapumuiUmeandika kweli tupu!! Zinaa ni laana kubwa!! Ukiishi kwa kutegemea zinaa utakatika ghafla!!
asante mkuu"" wabongo sisi daah nishidaAchana nae umesahau unafiki wa humu
kabisa atasema Kiki.ahaaaa na vile alisemaga na mchepuko wa nanihii
Ulitaka amwachie nani? Kaondoka na msingi kiuno wa kuanzia maisha huko.Kafa na umbo lake?
Kwani ilisemwa kuwa hatokufa kwa kuumbika vile?
Dalili ya upungufu wa kinga mwilini,Nipo Hospital ya Mama Ngoma ni kweli amefariki kwa upungufu wa damu