Lukaku Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 843
- 740
hapo umenifanya nipate picha kubwa sanaGreat minds never get trapped, what is this?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo umenifanya nipate picha kubwa sanaGreat minds never get trapped, what is this?
Ndio yamemuua?sio mambo ya madawa?!!
HahaahaaKind kinder kindest [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pumu ndo ugonjwa gani...Nimeona clip steve nyerere anatamka kuwa agness ameumwa pumu kwa siku nne na ndio ugonjwa ulio muua
AsthmaPumu ndo ugonjwa gani...
Tusaidie kwa English ili tu gugo..
Huyo Mshana hana heshima yeyote humu jukwaani acha kumpaisha,huyo mshana ni mtu mzima mwenye akili za kitoto,umri umemtupa mkono lakini anajilazimisha kuandika utoto humu! Mtu mzima kukosa busara ni hasara kubwa sana!Mkuu, unaheshima sana hapa jukwaani!! Naona Heshima yako unaidhalilisha. Yanini kumhukumu marehemu?!
Kweli weed..limekuweka angani...Sijui ume juaje mkuu nipo angani na pepea tu
Be kinder!!!??
Which English is that!?
Be kind.
Mkuu kama kweli una nia ya kupata majibu yako yaliyo sahihi,nenda mbele za Mungu mwombe au ingia makanisa ya kipentecoste wakati wa sunday school uliza hilo swali lako.Nilikushauri ujifunze kitu kwenye majibu ya Yesu ila umefanya haraka.Soma biblia utapata majibu yako siwezi kukujibu nahitaji kutafuta maandiko mengi zaidi ili nikupe jibu litakalokufaa.Ila binafsi unaweza end kumwuliza Mungu hata Ayubu alimwuliza Mungu siyo dhambi.
Nimesema mwanzo hakuna contradiction,it's your limited knowledge that will contradict you,kuna kitu nafuatilia kwa sasa sitakujibu mapema.