Mwanaginingi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 464
- 399
Watanzania Wanamkufuru Sana Mungu!Sasa Mnachosikitika Huyu Mdada kufariki Ni nini???Au Nyie Wapagani?Vitabu vya Dini vinasema kila Mtu Atafariki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YapAmeen!kifo ni mawaidha tosha au mahubiri tosha kwa walimwengu
naomba hapo nielimishwe kidogo maana sijaelewa hapo huyo masogange sijawahi muona hata movie moja au kuhudhuria vikao vya bongo movie
Ila kwa nini kina steve wameuchukua msiba wake na kuuweka upande wao?
Marehemu Masogange alikuwa ni mdangaji na muuza unga.
Mkuu ninachokifikiria ndicho au sicho,Kuna Mwanaume mmoja nimekutana nae akilia nikamuuliza kulikoni alichonijibu tu kwa haraka haraka ni kwamba hamlilii sana ' aliyeondoka ' bali analilia kile ' alichomuachia ' hivyo nami ' nikajiongeza ' na kuondoza zangu. Naomba niishie hapa tafadhali.
Hahaaa jamaa ni msanii sana yule yani jana mapema tu Washaanza mipango ya upigajiSteve nyerere alikula rambirambi ya Kanumba naona anaanza kunyemelea na ya masogange
u are niceSiku nyingine uwe unafanya Kwanza ' Tafiti ' kabla ya kuja humu tafadhali. Marehemu alikuwa both katika Bongo Movie ( kwa Kushiriki katika Movie kubwa Tano za Kitanzania ) na Bongo Fleva ( kwa Kushirikishwa katika Nyimbo kadhaa za Wasanii kama Wawili Watatu wakubwa ) na ndiyo maana umeweza kuona ' Msiba ' wake umebebwa na Watu wa hizo ' Fani ' mbili. Hilo la kuhusu Steve Nyerere silizungumzii sana kwani kama Wewe ni Mtoto wa Mjini hutopata nae shida. Naomba niishie hapa tafadhali.
team kiba100 mnalana .. mbona hautaji kinakuli uchafu anao ufanyaga na watoto aliye terekezaMarehemu Masogange alikuwa ni mdangaji na muuza unga.
Mkuu ninachokifikiria ndicho au sicho,
Anyway namimi naomba niishie hapa tafadhali
u are nice
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu nimejikuta nacheka peke yangu!Unamjua Mpiga Solo mmoja hivi wa Kikongo ( DRC ) aliyepiga Gitaa katika Wimbo wa Kanda Bongoman ule wa ' Inde Monie ' kisha huyo huyu akaling'uta katika Wimbo wa ' Wapi Yo ' wa Yondo Sister kisha akamalizia tena kulipiga katika Wimbo wa ' Evelyn ' wa Aurlus Mabele? Mtafute kisha ' jiongeze ' tafadhali. Gitaa lake ' Kali ' na la ' hatari ' kamwe halijawahi kumuacha Salama Mtu maaruu na tajiri yoyote hapa Tanzania kwani huwa ' wanalicheza ' sana.
alikuwa anawauzia ngadaNaomba nielimishwe kidogo maana sijaelewa. Huyo Masogange sijawahi muona hata movie moja au kuhudhuria vikao vya bongo movie ilaa kwanini kina Steve Nyerere wameuchukua msiba wake na kuuweka upande wao?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu nimejikuta nacheka peke yangu!
Swadakta kaka jibu ninalo