Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimepiga sana pale vuruga sana yule mtoto enzi za uhai wake.. tena sie ndio tulimuanzishia kabla ya ndina wengi hawaja mjua 😎😎Holy Man hii pisi unaikumbuka au ulikua Namtumbo bado haujaja town?
We tafuta bwana uolewe. Achana na umbea kwa marehemuAmeacha watoto wangapi?
RiP Agnes Masogange
Mzee Juma mbona unanishambulia ??We tafuta bwana uolewe. Achana na umbea kwa marehemu
Nimefanyaje tena mdogo angu?
acha basiii miaka imepita we ndio wa like leo kha!Nimefanyaje tena mdogo angu?
Mimi ndiyo nimeiona leo jamani; maandishi yanaishi eti 😁😁😁acha basiii miaka imepita we ndio wa like leo kha!
😀😀😀😀😀😀😀 Maisha ya duniani mafupi sana, tuishi kwa kutii maagizo ya Mungu.. sad.. umenifanya nikumbuke mengi kuhusu huyo mtotoMimi ndiyo nimeiona leo jamani; maandishi yanaishi eti 😁😁😁
Upo vizuri mdogo angu😀😀😀😀😀😀😀 Maisha ya duniani mafupi sana, tuishi kwa kutii maagizo ya Mungu.. sad.. umenifanya nikumbuke mengi kuhusu huyo mtoto
Kumbukizi siombaya, ndio maan twaambiwa tuishi vyema.. tuache kumbukumbu nzuriPipoooz mnafukua hadi waliokufa..🙌🙌
Ulipiga Agness we jamaa?Kumbukizi siombaya, ndio maan twaambiwa tuishi vyema.. tuache kumbukumbu nzuri
Wapi hiyo mzee wa BMW nije kupiga mbili tatu... asahivi nipo na J rafiki yake mitaa toto la kinyamwezi mjini mipangoUlipiga Agness we jamaa?
Yupo kitaa tukamwukize sasaInasemekana ameuliwa na mh.RC, ngoja tusubiri details kamili
Mmoja wa kikeAmeacha watoto wangapi?
RiP Agnes Masogange