UN inunue maua ikitafuta nini?Kwikwikwikwi sasa hivi yatajulikana tu. Tanzania ya jana sio ya leo.
Halafu usitutanie mnawauzia UN kitu gani uwe specific. Kama maua sema tunawauzia UN maua. Na useme, maana ya UN isije ikawa unamaanisha Uhuru wa Nairobi.
Endelea na takwimu zako.UN inunue maua ikitafuta nini?
wananunua mafuta, chandarua, vifaa vya ujenzi, lakini sana sana ni chakula kinanunuliwa na WFP,UNHCR.... tena tunawauzia kwa faida baada ya kununua kwa bei rahisi huko Tz, alafu hio faida ndo tunatumia kununua chakula chetu ..
hicho chakula tunacho nunua tz sidhani kinapita hata $100 million
View attachment 437638
Usianze na mimi ewee bwana.You will not notice what hit you my Friend.Sitaki ushenzi ya mla Albino.Get out of my sight.Bora usiniroge
Nilijua utazungumzia mambo ya Albino kwa kuwa huna kitu chochote chenye substance 2 contribute!
Revisit contribution ya Mkenya mwenzako one Waltham, huyo anaonyesha amekwenda shule, siyo wewe hybrid vigor product wa slums dwellers wa Kibera ndiyo maana huna maadili, masaa yote unatumia lugha chafu, ndiyo mazingira uliyo kuwa raised - who can blame you?
***Tuonyeshe zilizo zenyu, sio za watu! Au si afadhali niende kwa hao wenye pich kunua?
Vipi ndugu umevamiwa na mapepo?Kuna mengi machafu ya kuzungumzia Tangachoo...You are very pretentious evil people.You behave as if Your slum city and your witch country is a small heaven on earth...far from it.Look inward my friend...toka hapo mwananyamala kwa kopa and educate yourself.Usilie sana...pia wewe unachokijua Kenya ni Kibra tu....Get a life and I will punch you left right and centre as long as you portray my country in the manner you are doing...Now go bitching in that Jukwaa la siasa and stop this nonsense you son of a b*****
Vipi ndugu umevamiwa na mapepo?
Mbona jambo tunaloongelea ni tofauti kabisa?
Leta pesa tuwauzie bidhaa.
Kinacho ongeza mfumuko bei (inflation) kenya ni bei ya chakula, wakati inflation Tanzania inashuka haraka sana kwakuwa na chakula kingi na rahisi, kenya ina panada tena ina panda wakati bei ya mafuta duniani inashuka kitu ambacho kungesaidia kupunguza gharama ya uzalishaji.
Kenya haiwezi kuwa na mifugo mingi, nchi zilizo na mifugo mingi Afrika ya kwanza ni Ethiopia, ikifwatiwa na Tanzania. Ngombe tuu wapo zaidi ya million 25, mbuzi zaidi million 16 na hiyo ni rough estimate.
Huyu jamaa hata Mimi nilishamuambia hayupo sawa labda kuna fyuzi imechomoka kichwani.Hawezi kuchangia mada bila kuongelea albino. Labda atakua yeye ndio anajihusisha na hiyo biashara chafu isiyo yakibinadam.Nilijua utazungumzia mambo ya Albino kwa kuwa huna kitu chochote chenye substance 2 contribute!
Revisit contribution ya Mkenya mwenzako one Waltham, huyo anaonyesha amekwenda shule, siyo wewe hybrid vigor product wa slums dwellers wa Kibera ndiyo maana huna maadili, masaa yote unatumia lugha chafu, ndiyo mazingira uliyo kuwa raised - who can blame you?
Umeshinda ukiongelea ukulima na biashara.... kila unapo andika lazma useme leteni pesa.........Endelea na takwimu zako.
Kuna mengi machafu ya kuzungumzia Tangachoo...You are very pretentious evil people.You behave as if Your slum city and your witch country is a small heaven on earth...far from it.Look inward my friend...toka hapo mwananyamala kwa kopa and educate yourself.Usilie sana...pia wewe unachokijua Kenya ni Kibra tu....Get a life and I will punch you left right and centre as long as you portray my country in the manner you are doing...Now go bitching in that Jukwaa la siasa and stop this nonsense you son of a b*****
Sasa haya maelezo yote ya nini sasa kwenye uzi huu?Umeshinda ukiongelea ukulima na biashara.... kila unapo andika lazma useme leteni pesa.........
alafu nakuletea takwimu, unazitupilia mbali u atuekea mapicha ya holland, haha,..... kumbe hata si mkulima wala mwanabiashara, hujui A wala B kwa mambo ya ukulima, uko hapa kujifarijibele ya wakenya tu, wala haujali kilimo,...waltham alikua anaeka post zake vizuri sana, zilikua informative, zilikua na maelezo,recomendation,best practices...mkulima halisi atakua more interested in those exchanges in best practices plus actual pictorial evidence.... wakati wewe hata ulikua hauoni aibu kutuekea screen saver za kutoka holland -a first world country where the cost of agriculture is very cheap, the soil is different, the weather is completely different.........
sawa ntaendelea kukuletea takwimu, maanake kama ulikua haujui takwimu na hesabu ni muhimu sana kwa kilimo-biashara.... mkulima mtanzania akiona hizo takwimu na ajue kenya inauzia chakula kingi zaidi UN kuliko kile wanacho nunua toka Tz, anaeza amua kuongea na UN yenyewe (to skip the middlemen na auzie chakula directly ili faida yote aipate yeye) maanake chakula hicho kinauziwa UN hutumiwa kulisha refugees hapa kenya, msaada somali, s.sudan na hata DRC ambayo iko karibu yenu huko Tz.
Mkulima wa maua tanzania akipata takwimu za 2013, atagundua huo mwaka, tanzania ili produce maua mengi kuliko kenya (sababu ya general election jitters huku kenya) lakini kenya bado ilipata faida nyingi zaidi, sababu pale JNIA hakuna storage refregiration facilities za kutosha, tena ndege za cargo sio nyingi pamoja na shida zengineo za logistics, kwahivyo maua yakisafitishwa kupitia hio njia ya JNIA, by the time yamefika ulaya hua yamenyauka........... sasa mkulima mtz akiwa na hio takwimu anajua shida si mazao, shida ni logistics haswa pale JNIA....unaona vile takwimu zinasaidia?????? haya we tubandikia mapicha ujifurahishe
Wewe mama rudi zako milembe ulikotoroka, ama umhudumie mmeo hapo nyumbani, kazi kutuzingua wastaarabu humu...eboooo!!Maembe sasa.
Maembe kila kona TZ yanapatikana. Lakini kwa wingi ni
Tanga, Morogoro, Pwani, Geita, Shinyanga, Mwanza nk.
View attachment 437682 View attachment 437683 View attachment 437684 View attachment 437685 View attachment 437686 View attachment 437688 View attachment 437689 View attachment 437690