Agriculture,Fisheries and livestock in Tanzania - East Africa

Sasa haya maelezo yote ya nini sasa kwenye uzi huu?
nenda forum yoyote ya ukulima, maelezo na kujadiliana na takwimu ni muhimu zaidi!
Lakini nakuelewa, ni vile wengi wetu hapa ni shallow minded , tunafurahia mapicha tu, hatutaki mengine...... nikama wale watu wazima hupenda kusoma vile vitabu vya hadithi za watoto zenye picha nyingi kuliko maandisha badala ya kusoma novel ama hata short stories zenye hazina mapicha
 
Acha kutukana wewe. Na kuwaambia watu wapo shalow. Wewe uwezo wako wa akili upoje?
Nyie mkaalia ushindani tu. Wenzako wanakufa na njaa wewe unakuja ku yap yap hapa.
Wewe takwimu hizo zinahusikana nini na huu uzi. Kama inakukera acha kusoma thread zangu.
 

Naona unaleta porojo hapa, nakubali Waltham ni Pro hata maelezo yake yanadhilisha hilo labda kasoma Chuo Kikuu cha Egerton - lakini wewe mwenzangu mambo ya kudai eti Uhollanzi wanalima maembe, Michikichi na Korosho hizo ni tamthilia za waigizaji wa VOK i.e VITIMBI vya mzee nani yule...?
 
Naona yamepita matangazo kidogo toka kwa ndugu zetu toka kenya.
Sasa tunarudi kwenye mada. Sasa hivi nawaletea zao zuri la vitunguu toka tanzania.
Vitunguu vina kazi nyingi sana mwilini. Na hutumika kama kiungo na hufanya chakula kiwe kitamu.
Vitunguu vinapatikana:-
Arusha, Manyara, Singida, Dodoma na Morogoro.
 

Tunakubali, mambo ya kusindika vyakula na fruits mko mbali sana, lakini na sisi tuko mbioni kuwapiku. Sasa swali: Nchi ambazo zinaongoza kuwa na ng'ombe wengi barani Africa ni Ethiopia na Tanzania, sasa nyinyi ng'ombe wa kuchinja kwa wingi mnawapata wapi?
 
Nawaona wakenya mnaumi sana. Sasa nawaletea zao lingine zuri kutoka Tanzania. Zao la dengu.
Dengu zinapatikana mikoa ya Shinyanga, Geita, Mwanza, Kigoma, Kagera,Mara, Simiyu nk.
Leteni pesa acheni kulia lia.
Dengu hutumika kutengeneza biscuit, Bagia vile vile hutumika kwenye urembo kuondoa chunusi.
Najua ndugu zangu wakenya wanachunusi za kufa mtu na sura zao zimekomaa sana. Mnaweza tumia dengu asili kuodoa hizo chunusi.
 
Fikra kama hizi.....kwa hawa marketers wanaopromote bidhaa za Kenya ughabuni ni wazungu? Uko na evidence yoyote kudhibitisha hayo unayoyasema?
Acheni hizi upuzi bana.
 
Annaeli ni wale watz wa mpakani na Kenya.....huenda ni Mtaveta ,Digo na kadhalika.....
 
Vijana wa Kenya acheni hasira. Nawaletea zao zuri la ubuyu.
Ubuyu ni dawa katika mwili wa binadamu. Hutumika pia kutengeneza mafuta ya kupikia. Mafuta yake ni mazuri sana hayana matatizo mwilini.
Wakenya karibuni tena kwenye zao hili.
Ubuyu unapatikana kwa wingi
Dodo, Singida na Tabora.
 
Ni bora pia kuonyesha ikiwa Kenya haizalishi hizi bidhaa unazoonyessha humu. Nijuavyo, sis ndio moja wa wale wanaongoza katika uzalishaji wa baadhi ya bidhaa za kilimo Africa. Maziwa, sukari, ngano, mchele, sunflower, millet/sorghum. nyama nk.

Sasa hatuna haja sana ya kuja TZ kuja kunua nyanay, ilhali huku Kenya baadhi hadi huozea masokoni juu ya kukosa wanunuzi. Nyanya kwa sasa huku mtaani kwetu, kifungu kimoja chenye nyanya nne ni shilingi ishirini tu!
Ni mahindi tu ndio sisi hununu kutoka kwenu.

Sasa ni lipi kweli huku Kenya tumekosa?
 
Ndugu yangu mbona maneno mengi sana. Tulia wenzako wenyeshida watakuja.
 
Well we know your level of intelligence judging from the asinine comments.

WELL WE ALL KNOW YOUR IDIOCY,DARK WORLD AND SAVAGE KIND OF LIFESTYLE YOU LEAD.ITS NOT ME TO JUDGE YOU.HALLLOOOOOO.....
 
Nawaona wakenya wanakuja kwa hasira sana kama vile ugomvi.
Sasa nawakaribisha Kivukoni Fish Market mpate samaki safi toka Bahari ya hindi.
Najua wakenya hamuwezi kuingia baharini kwa sababu Al Shababu mmewachokoza wenyewe. Sasa basi mnaweza kufika Kivukoni Fish market na kupata samaki Fresh kabisa waliovuliwa leo leo.
 
Fikra kama hizi.....kwa hawa marketers wanaopromote bidhaa za Kenya ughabuni ni wazungu? Uko na evidence yoyote kudhibitisha hayo unayoyasema?
Acheni hizi upuzi bana.
Mm, kwahiyo umekaa hapo unajiaminisha kwamba, ni mkenya mweusi ndio ana promote bidhaa za Kenya nje. Na wale settlers wenye mashamba makubwa kenya wanafanya nini? Au waliokuwa Zimbabwe waliokuwa wanafanaya nini? Kama sio kushikilia ardhi na kuzalisha bidhaa kwajili ya masoko ya ndugu zao ulaya, hata ukienda Arusha or Moshi ni hao hao wazungu waliokimbilia kuchukuwa ardhi na ndio wanajuwa ndugu zao wanataka kununua nini. Kama weusi wange kuwa na access ya market ya ulaya, nchi zote za Africa wangelima mazao mengi na wakauza ulaya au hata sehemu nyingine. Lakini the bigger export countries za Africa, ni zile zenye settlers wengi wazungu na zenye ardhi inayofa kulima. South Africa, Zimbabwe, Kenya, Ivory Coast.
 
Hayahaya msiyempenda kaja. Ninawaletea karanga safi toka Tanzania.
Karanga huwa inamatumizi mengi sana mwilini.
Wenzetu huko kenya karanga ni kama dhahabu kwao. Sisi kwetu tunakula kama kawa.
Karanga hupatikana mikoa yote ya Tanzania
 


Swissport Tanzania : New Cold Storage Facilities At JNIA to Boost Fresh Produce | 4-Traders
 
Tembea ujionee, usingoje kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…