- Thread starter
- #61
Umesahau kuwa alikuwa anateka, anaua, anapiga watu risasi na anapora watu?? Nani angethubutu kuhoji???Kama kipindi Cha J.p.m Kuna hizo hela ziliibwa kama anavyo dai je alizuiliwa kuhoji aweke ushahidi apa
Ache upimbi wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau kuwa alikuwa anateka, anaua, anapiga watu risasi na anapora watu?? Nani angethubutu kuhoji???Kama kipindi Cha J.p.m Kuna hizo hela ziliibwa kama anavyo dai je alizuiliwa kuhoji aweke ushahidi apa
Ache upimbi wake
Walipelekwa na Kalemani.Wakongwe wote wa JF wanajua vyura wa kihansi walipelekwa lini Marekani.
Tupunguze tantatalila. Tumpe mama muda atashughulikia.Wewe nae chenga tu siku hizi
Kwa hiyo tuendelee kuibiwa huku tukitozwa tozo kubwa kubwa?
Umesahau kuwa jiwe alikuwa dikteta muuaji??We kipindi hicho ulikuwa wapi mbona hukuandamana au kulalamika kuwa umeibiwa hela
Tuache tuamshe popote. Tozo ni nyingi mnoTupunguze tantatalila. Tumpe mama muda atashughulikia.
Mbona hakujifukuza yeye mwenyewe? MwiI namba moja alikuwa yeye jiwe, maana aliiba 1.5trilioni.Bora hata magufuli alifukuza watu nyie mpaka Leo mmemuonya hata mtu mmoja?
Chawa wa Mama mtetezi wa dini😂😂😂😂😂Hata bilioni 6 za vyura alizo saini Kalemani wakati Rais Magufuli mwaka 2020 wanajaribu kumuangushia January na Samia..
Mchezo huu tumestukia mapema..
CAG ripoti inasema huo mkataba umesainiwa mwaka 2020...wao hawamgusi Kalemani kabisa
Naam ubarikiweNisamehe, nimeifuta kwenye comment yangu
Nikulaumu kwa umri wako na kutotaka kujua mambo. Vyura walipelekwa awamu ya Nne.Walipelekwa na Kalemani.
Amen.Naam ubarikiwe
Leo ni sikukuu ya kusameheana. Nami naifuta quote yangu
Cheeers
Mbona hakujifukuza yeye mwenyewe? MwiI namba moja alikuwa yeye jiwe, maana aliiba 1.5trilioni.
Kwa akili kama hizi ulizonazo kwa kweli Sexless nimejua kwanini una chuki na Magu
Jiwe alikuwa muuaji na mwiziNimejiuliza mbona makelele yamekuwa mengi sana kwenye hii ripoti ya CAG??
Mbona jiwe alipomtumbua prof. Assad kwa kuonesha 1.5 trilioni haijulikani ilipo (ilivchukuliwa na jiwe mwenyewe) hakukiwa na kelele kubwa kama hivi?
Nimebaini ya kwamba sukuma gang wana hasira na machungu. Hivyo wanapiga sana makelele ili mama ayumbe na kufanya maamuzi ya papara kisha waje washangilie siku za usoni.
Mama ameondoa uuaji, uporaji, kupiga watu risasi, utekaji na ubaguzi wa kisiasa. Mama ameruhusu uhuru wa vyombo vya habari. Mama ameifungua nchi. Mama amewafanya wapinzani kuwa ndugu. Halafu Kuna sukuma gang linapanua mdomo kumlaumu mama kwa ripoti ya CAG???? Ebo!
Mama tuliza akili yako, jipe muda na ufanye kile nafsi yako inakutuma, ikibidi nyamaza kimya. Hakuna wa kukufanya chochote.
Nimemaliza!
Jiwe alikuwa muuaji na mwiziMtoa maada nikipata bahati ya kukuona nakuchinja au nakuchoma moto maana hauna faida duniani
Kwani anayefaidika hapo ni nani?Nenda Chato ukaone viwanja vya ndege, viwanja vya gofu, taa za barabarani/mashambani, maghorofa ya mahotel, mbuga za wanyama za kulazimisha na majumba yasiyo na kazi yalivyosiamama huko. Alitaka kukibadilisha Kijiji cha Chato kuwa jiji
Msaidizi wake akiwa wapi?Umesahau kuwa alikuwa anateka, anaua, anapiga watu risasi na anapora watu?? Nani angethubutu kuhoji???
Huyo Magufuli Wako Alifukuza Asiowapenda.Kwa watu wa Aina yako ndio mnafanya Africa iwe maskini na kuendelea kuwa maskini
Wenzako wamepiga Mahela kibao ww unatetea ujinga tu
Bora hata magufuli alifukuza watu nyie mpaka Leo mmemuonya hata mtu mmoja?
Always wizi unarudisha maendeleo ya inchi Acha kutetea ujinga
Magu ameshakufa 2yrs now, nyie kila siku mnaleta story za magu tu
Kwahyo hivi ndivyo vilikuwa vipaumbele vya huyo mama yenu alipokabidhiwa kijiti kutuongoza kama rais?Mama ameondoa uuaji, uporaji, kupiga watu risasi, utekaji na ubaguzi wa kisiasa. Mama ameruhusu uhuru wa vyombo vya habari. Mama ameifungua nchi. Mama amewafanya wapinzani kuwa ndugu. Halafu Kuna sukuma gang linapanua mdomo kumlaumu mama kwa ripoti ya CAG???? Ebo!
Jiwe alimfunga fisadi gani wa nchi hii zaidi ya kubambikiza watu kesi za uhujumu uchumi? Kamuulize MO yaliyomkutaSababu nyingine ya kufanya Jpili ya leo Nivute kaya siku nzima huku nikisikiliza hotuba za hayati Jiwe JPM kiboko ya wahuni na mafisadi wa Taifa hili.