Ahaa! Kumbe wanatumia ripoti ya CAG kukamilisha ajenda yao!!!! Mama usiyumbishwe

Ahaa! Kumbe wanatumia ripoti ya CAG kukamilisha ajenda yao!!!! Mama usiyumbishwe

Huyo Magufuli Wako Alifukuza Asiowapenda.

Magufuli Ndiyo Rais Pekee Katika Nchi Yetu Aliyeongoza Kwa Kuiba Pesa Nyingi.1.5 Trilion Siyo Kidogo Haijawahi Tokea Toka Tanzania Imekuwa Nchi Huru.

Bila Kusahau Genge La Majambazi Yakunyanganya Watanzania Pesa .

Utekaji .Na Uuwajj.

Sema serikali iliiba na sio magufuli

Sijui kama unamjua makamu wake wa Rais na waziri wake wa fedha?
 
Hata bilioni 6 za vyura alizo saini Kalemani wakati Rais Magufuli mwaka 2020 wanajaribu kumuangushia January na Samia..
Mchezo huu tumestukia mapema..
CAG ripoti inasema huo mkataba umesainiwa mwaka 2020...wao hawamgusi Kalemani kabisa
Wewe mava kobazi lazima utetee ujinga wa mama!
 
Duh! Kwa hiyo kitu kama "over invoicing" ya manunuzi ya ndege ya mzigo kutoka 57 $mil hadi 86 $ mil, tunyamaze kwa sababu Sukuma gang nao wanaipigia kelele.! Kwa hiyo nchi nzima tunyamaze kwa point za kijinga kama hizi!

Hapa unamtetea nani?
Kwani hiyo invoice imelipwa?
 
Nikuulize wewe. Magufuli mnayemsifia kila siku hapa alifanya nn kwenye sheria ya kupambana na rushwa? Mbona aliishia kuweka watu ndani na kuwatoa kwa pesa za plea bargain?
Alivibana vyombo vya habar na kumfuta kazi CAG?
 
Nimejiuliza mbona makelele yamekuwa mengi sana kwenye hii ripoti ya CAG??

Mbona jiwe alipomtumbua prof. Assad kwa kuonesha 1.5 trilioni haijulikani ilipo (ilivchukuliwa na jiwe mwenyewe) hakukiwa na kelele kubwa kama hivi?

Nimebaini ya kwamba sukuma gang wana hasira na machungu. Hivyo wanapiga sana makelele ili mama ayumbe na kufanya maamuzi ya papara kisha waje washangilie siku za usoni.

Mama ameondoa uuaji, uporaji, kupiga watu risasi, utekaji na ubaguzi wa kisiasa. Mama ameruhusu uhuru wa vyombo vya habari. Mama ameifungua nchi. Mama amewafanya wapinzani kuwa ndugu. Halafu Kuna sukuma gang linapanua mdomo kumlaumu mama kwa ripoti ya CAG???? Ebo!

Mama tuliza akili yako, jipe muda na ufanye kile nafsi yako inakutuma, ikibidi nyamaza kimya. Hakuna wa kukufanya chochote.

Nimemaliza!
Jitu pumbavu sana ww mbona mnatuamisha vitu ambavyo havipo acheni chuki
 
Nimejiuliza mbona makelele yamekuwa mengi sana kwenye hii ripoti ya CAG??

Mbona jiwe alipomtumbua prof. Assad kwa kuonesha 1.5 trilioni haijulikani ilipo (ilivchukuliwa na jiwe mwenyewe) hakukiwa na kelele kubwa kama hivi?

Nimebaini ya kwamba sukuma gang wana hasira na machungu. Hivyo wanapiga sana makelele ili mama ayumbe na kufanya maamuzi ya papara kisha waje washangilie siku za usoni.

Mama ameondoa uuaji, uporaji, kupiga watu risasi, utekaji na ubaguzi wa kisiasa. Mama ameruhusu uhuru wa vyombo vya habari. Mama ameifungua nchi. Mama amewafanya wapinzani kuwa ndugu. Halafu Kuna sukuma gang linapanua mdomo kumlaumu mama kwa ripoti ya CAG???? Ebo!

Mama tuliza akili yako, jipe muda na ufanye kile nafsi yako inakutuma, ikibidi nyamaza kimya. Hakuna wa kukufanya chochote.

Nimemaliza!
Jiwe pamoja na kufichiwa Ufisadi wote alimfukuza CAG Ili kuficha wizi.

Naunga mkono hoja,watupe majibu Kwa nini Jiwe alimfukuza Assad?

Mwisho serikali iwachukulie hatua wahusika ila sio Kwa mihemko na Kwa Rais Samia hanaga mihemko Wala kuyumbishwa na makelele ya kijinga..
 
Jiwe pamoja na kufichiwa Ufisadi wote alimfukuza CAG Ili kuficha wizi.

Naunga mkono hoja,watupe majibu Kwa nini Jiwe alimfukuza Assad?

Mwisho serikali iwachukulie hatua wahusika ila sio Kwa mihemko na Kwa Rais Samia hanaga mihemko Wala kuyumbishwa na makelele ya kijinga..
Asad alikuwa na matatizo mengi ya kujifanya mjuaji kwa kila jambo!
Ndio maana hata Samia hajamkumbuka kwenye nafasi yeyote!
Yule alitaka kuchafua tu serkali kwa unafiki wake!
Yaani Trillion 1.5 ipotee bila kuda na kielelezo na Samia asivompenda Magufuli kama aliiba lazima angemchoma tu!
Na wazungu kama angeficha popote nje ya nchi wangemsema tu!
Ni propaganda tu za unafiki mwingi!
 
Nikuulize wewe. Magufuli mnayemsifia kila siku hapa alifanya nn kwenye sheria ya kupambana na rushwa? Mbona aliishia kuweka watu ndani na kuwatoa kwa pesa za plea bargain?
Alivibana vyombo vya habar na kumfuta kazi CAG?
Rais wenu kafanya nini zaidi ya kuomba wala rushwa na mafisadi wa muogope Mungu???
 
Asad alikuwa na matatizo mengi ya kujifanya mjuaji kwa kila jambo!
Ndio maana hata Samia hajamkumbuka kwenye nafasi yeyote!
Yule alitaka kuchafua tu serkali kwa unafiki wake!
Yaani Trillion 1.5 ipotee bila kuda na kielelezo na Samia asivompenda Magufuli kama aliiba lazima angemchoma tu!
Na wazungu kama angeficha popote nje ya nchi wangemsema tu!
Ni propaganda tu za unafiki mwingi!
Kujifanya mjuaji ndio nini Mzee? Assad si alifichua upoymtevu wa til.1.5 kwenye Bajeti licha ya kukusanywa ? Huo ukuaji ni upi?

Hadi kesho serikali haijatoa majibu,usitafute visingizio vya kijinga.
 
Umenikumbusha athari ya kufanya biashara kwenye jamii mfu, iliyonyamaza ama kunyamazishwa amabayo haiwezi kuhoji tena ukitaka kuhoju afya ya kiongozi wako unaambiwa mchochezi ama huna uzalendo
 
Jiwe pamoja na kufichiwa Ufisadi wote alimfukuza CAG Ili kuficha wizi.

Naunga mkono hoja,watupe majibu Kwa nini Jiwe alimfukuza Assad?

Mwisho serikali iwachukulie hatua wahusika ila sio Kwa mihemko na Kwa Rais Samia hanaga mihemko Wala kuyumbishwa na makelele ya kijinga..

Me nadhan mwakani report ikitoka iwe private report

Wasikilize wenyewe na waamue wenyewe

Wao watakuwa wanajua zaidi kinachoendelea
 
Akili za nyumbu hizi.
20230305_195201.jpg
 
Nimejiuliza mbona makelele yamekuwa mengi sana kwenye hii ripoti ya CAG??

Mbona jiwe alipomtumbua prof. Assad kwa kuonesha 1.5 trilioni haijulikani ilipo (ilivchukuliwa na jiwe mwenyewe) hakukiwa na kelele kubwa kama hivi?

Nimebaini ya kwamba sukuma gang wana hasira na machungu. Hivyo wanapiga sana makelele ili mama ayumbe na kufanya maamuzi ya papara kisha waje washangilie siku za usoni.

Mama ameondoa uuaji, uporaji, kupiga watu risasi, utekaji na ubaguzi wa kisiasa. Mama ameruhusu uhuru wa vyombo vya habari. Mama ameifungua nchi. Mama amewafanya wapinzani kuwa ndugu. Halafu Kuna sukuma gang linapanua mdomo kumlaumu mama kwa ripoti ya CAG???? Ebo!

Mama tuliza akili yako, jipe muda na ufanye kile nafsi yako inakutuma, ikibidi nyamaza kimya. Hakuna wa kukufanya chochote.

Nimemaliza!
Ukishakuwa na upande, akili inaondoka. Ndicho kinachokutokea.
 
Yaani mnaiba halafu bado mnapata nguvu ya kuja kutunanga aisee!
Madudu mengi yaliyoibuliwa na CAG ktk hii ripoti yalifanyika awamu ya 5. Mfano mpango wa vyura kulelewa kwa shiling bilioni 6 huko US ulisainiwa na kuridhiwa na Kalemani
 
Back
Top Bottom