PointsYani kwa akili ya kawaida tuu eti Simba wapokwe point 6...nani kasemaa...yani Simba yote isiwe na akili wakamchezesha mchezaji ambae hana leseni.....hiyo kesi muifungue upyaa yani muwashtaki TFF na sio Simba....
Naona ww ndo unawenge..8_2
Bado inawapa wenge
Kagoma kawagomea...magoma amewagomea kazi kwenu..Points
Mtabaki Nazo
Sisi tunamfungia Kagoma miaka 3
Na nyie tunawapa 5 nyingine
Huogopi goli linafungwa baada ya kupigiwa pasi 20Kagoma kawagomea...magoma amewagomea kazi kwenu..
Mama mnyama baba ni uto ๐คฃDoooh baba ni Uto pyua...lazima hapo kuwe kuna tafran...uzuri mm nimezaliwa na mashabiki wa Simba baba na mama...๐๐๐na mbee wa Moshi nae ni mnyama sasa utanambia nini....
Tunawapa adabu hao matapeli makoloYanga mnasema mko kamili kikosi kimekamilika sasa mnamsumbua nn ubaya bwela wivu tu
Kumbe wewe ni mnyama๐๐Yanga mnasema mko kamili kikosi kimekamilika sasa mnamsumbua nn ubaya bwela wivu tu
๐ kazi ipo, si kila siku ubishani tu nyumbani ๐ฆป๐Mama mnyama baba ni uto ๐คฃ
Zamani sasa na mimi ni mzee ๐๐ kazi ipo, si kila siku ubishani tu nyumbani ๐ฆป๐
Sasa raha gani kama hata vikombe hamchukui.Yani Simba inanipa raha kuliko kula๐๐๐๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
๐ ๐ฎ๐๐บ๐Yani Simba inanipa raha kuliko kula๐๐๐๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
๐คฉHujakosea mambo ndo kwanzaa yameanza
Hakuna kesi pale TFF. Mfumo hauruhusu double registration, lazima utamtema mmoja. Ila katika karatasi, hata timu kumi unaweza kusign, ambayo ni kesi ya kupelekwa polisi tu huku ukiendelea kuripoti na kucheza mpiraNa ndio yanawakasirisha na kukomaa na kesi
Bali (ll) litembee ausiooHakuna kesi pale TFF. Mfumo hauruhusu double registration, lazima utamtema mmoja. Ila katika karatasi, hata timu kumi unaweza kusign, ambayo ni kesi ya kupelekwa polisi tu huku ukiendelea kuripoti na kucheza mpira