Ahmed Ally atoa kauli kuhusu sakata la Yusuph Kagoma na Yanga SC

Yani Simba inanipa raha kuliko kula๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Sasa raha gani kama hata vikombe hamchukui.
 
Yani Simba inanipa raha kuliko kula๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
๐Ÿ˜€ ๐ŸŒฎ๐Ÿœ๐Ÿ•บ๐Ÿ’ƒ
 
mwanzoni mwa ligi nyau huwa ana furaha sana ana jihakikishia utawala katikati anaanza kupoa

mwishoni anaanza kutaka kufukuza viongozi
 
Hakuna kesi pale TFF. Mfumo hauruhusu double registration, lazima utamtema mmoja. Ila katika karatasi, hata timu kumi unaweza kusign, ambayo ni kesi ya kupelekwa polisi tu huku ukiendelea kuripoti na kucheza mpira
Bali (ll) litembee ausioo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ