Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Raha sio lazima zifanane....Sasa raha gani kama hata vikombe hamchukui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raha sio lazima zifanane....Sasa raha gani kama hata vikombe hamchukui.
Yanga wanaroga sana wachezaji lakini wao sio Mungu.Kuna wakati ulozi wao unashindwaHaya maneno ya shombo Yanga watachukia wamroge mchezaji wetu. Wale ni watu wa shirk
Wazee wa kujumlisha matone ya maji...😄😄😀8_2
Bado inawapa wenge
Kunywa maji umeza hasira mkuuWazee wa kujumlisha matone ya maji...😄😄😀
Sinywi maji ili vidimbwi visikauke...😀😄😃Kunywa maji umeza hasira mkuu
Tutafunga hadi mhame ligiSinywi maji ili vidimbwi visikauke...😀😄😃
Doooh baba ni Uto pyua...lazima hapo kuwe kuna tafran...uzuri mm nimezaliwa na mashabiki wa Simba baba na mama...😄😄😄na mbee wa Moshi nae ni mnyama sasa utanambia nini....
Sawa sawaRaha sio lazima zifanane....
Kuweweseka kubaya sana. Unaposa mke ukikataliwa unasema kwanza mke mwenyewe hazai, uliposa wa nini hahaaaHuyu mpumbavu ameshawajua makolo amegeuka comedian akijua fika kwamba Yanga ya sasa haina mzaha na anajua mwisho wa msimu anaweza asiwe na kibarua. Lakini sisi wanayanga tunajua haya maneno ndio furaha ya makolo maama baada ya hapo wataishia kushangilia team pinzani na Yanga. Hivi mnaona kabisa huyu Kagoma ana nafasi pale Yqnga kiasi hicho? Ishu ni hatutaki dharau. Kama anapewa kichwa basi atafurahi.
Mkuu , futa kwanza machozi. Ubaya ubwela wanakusalimu kwa jina la Yusuf Kagoma.Huyo Kagoma hata timu C ya Yanga hachezi
Umri wa kazi, huyu ni 28+, mwangalie vizuri usoni.Ila Tanzania hii kwahyo Kagoma umri miaka 23?
Katika hesabu za kujumlisha darasa la pili?Tukianza kufanya ujinga huo mbona kuna timu zitahamia Timor mashariki?8_2
Bado inawapa wenge