Pre GE2025 Ahobokile Mwaitenda anusurika kuuawa kwa kuukosoa mkataba wa bandari!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Akome, wapotoshaji wote washughulikiwe..

Hao mabeberu ndio watawasaidia nini? Mna Haki ya uhuru wa maoni ila sio upotoshaji Wala kudhalilisha Mamlaka.
 
hata hawajui kwamba wakiendeleza huo ujinga, wananchi nao wataamua kuchukua sheria mkononi, na hapo ndio unakuwaga mwanzo wa vita, mmarekani amekaa paleee anasuburi tugombane ili achague wa kumpa silaha watu wauane yeye auze silaha au achote dhahabu na gesi. hawa waarabu wana faida gani Tanzania hata kuja kutuondolea amani namna hii? angekuwepo magufuli wangekuja namna hii kweli ? kwamba wanagombanisha serikali na wananchi, si waondoke tuishi kwa amani kama tulivyozoea?
 
Watekaji wakamlazimisha kuingia Kwa gari akawa mateka..
Halafu akaendesha gari peke yake huku wanamfata??
Hii tabia ya kunyamazisha watu baada ya kufanya kazi kwa namna fulani wakati wa dhalimu, na sasa tunaona taratibu inaanza kurejea. Nina hakika tabia hii itarudi rasmi kadiri mikataba mingine ya hatari itakavyokuwa inaanza kukaa wazi. Watakaokuwa salama ni nyie mnaokula cake ya taifa kwa sasa.
 
🀣🀣🀣🀣🀣 Tuliwaambia lakini hamkusikia , acheni upotoshaji hao beberu hawatawasaidia..

Kwa taarifa yenu kuanzia Egypt Hadi Rwanda,Kenya Hadi Senegal kwote huko Wapinzani wanapelekewa moto na Wazungu wanakuja kuwekeza.

Ni hivi Jiwe alikuwa na sera za Kijamaa ambazo Wazungu hawazijubali Samia ana sera za ubepari ambazo Wazungu wanazikubuli so mambo ya siasa Wala hawatayapa umuhimu ikiwa maslahi ya Nchi yanazingatiwa..

Tutaenda Kwa staili hiyo na Ile ya Uongozi wa JK.
 
Tusipokuwa makini hata mlima Kilimanjaro siku moja atauziwa mwarabu. Tuna viongozi washamba sana


Tunataka BANDARI zetu tulipihania Uhuru Kwa kutaka Mali zetu Leo Samia MANGUNGO anagawa Kwa waarabu , DPWORLD waondoke
Kweli dunia inazunguka,eti leo Etwege anawakosoa viongozi wa ccm!!
 
Tusipokuwa makini hata mlima Kilimanjaro siku moja atauziwa mwarabu. Tuna viongozi washamba sana


Tunataka BANDARI zetu tulipihania Uhuru Kwa kutaka Mali zetu Leo Samia MANGUNGO anagawa Kwa waarabu , DPWORLD waondoke
Anawajua wachagga wamwulize Bichwa korosho aliingiza pua zake saivi yuko wapi ? Mwanae Sabazuri naye katulia analea mishono ya wahuni waliomtega na sabuni πŸ˜‚
 
mshaanza michezo yenu ya kutekana na kuuana halafu msingizie wengine
 
Tusipokuwa makini hata mlima Kilimanjaro siku moja atauziwa mwarabu. Tuna viongozi washamba sana


Tunataka BANDARI zetu tulipihania Uhuru Kwa kutaka Mali zetu Leo Samia MANGUNGO anagawa Kwa waarabu , DPWORLD waondoke
Nimecheka sana mh waziri mkuu kuna clip nimeona anasema watanzania tuwamini , kwamba serikali ya tz imewatega DP WORLD, Ila Majaliwa kiboko, unamtegaje Dp WORLD kwa mkataba ule?
 
Sasa imekua the comedy show πŸ˜‚πŸ˜‚ watanganyika wanaburuzwa tu, huku wakizidi kufanywa mazuzu kwa Drama kama hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…