Pre GE2025 Ahobokile Mwaitenda anusurika kuuawa kwa kuukosoa mkataba wa bandari!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watekaji wakamlazimisha kuingia Kwa gari akawa mateka..
Halafu akaendesha gari peke yake huku wanamfata??
Mkuu hivi unatambua kuwa shule ya Makongo ipo ndani eneo la JWTZ!?
Je! Unafikiri kuwa hao washukiwa wangaliweza kumchukua peke yake na kulitelekeza gari lake katika eneo hilo la Lugalo?
Kitu kingine cha kufikirisha ni kuhusu uthubutu wao wa kumpiga mtu wakiwa katika eneo hilo nyeti la kiusalama.
 
Tafuteni umaarufu wa kijinga
 
Mh 🤔
 
Huyo ni nani na kwa umaarufu gani? asitafutwe slaa wala lissu hatutaki drama kama aliiba mke wa mtu amrudishe!
Mlinda legacy hata LISSU aliposema anafuatiliwa na gar flan na no flan mlimbeza na kumwambia anatafuta umaaruf kupitia JPM. Nadhan baada ya masaa kadhaa mliona wenyew!!! NB: Kwann walinda legacy wengi ni hamnazo?
 
The boss na etwege wamebadilishana persona, na wote wanaamini ni wazalendo wapenda maendeleo.
 
Kama ambavyo mtu mweusi alitumika kumkamata mweusi mwenzake na kumtesa na kisha kumuuza kwa waarabu, leo maataahira wanarudia ushenzi uleule
 
Kuna madhabahu ya shetani inafanya kazi nchini.Shetani hajawahi kuwa mwema na hata anayejaribu kujiungamanisha naye bado shetani hamtakii mema na kizazi chake.Fikiria mkataba wa bandari uko wazi kuwa hauna tija kwa taifa lakini wasikilize mawakala wa shetani wengine wasomi kabisa lakini wanajitoa ufahamu kuutetea kwa gharama yoyote. wanatazama wanachokipata kwa muda huu lakini hawauoni mwisho wao na vizazi vyao baadae.Hii ni tabia halisi ya ibilisi kukuoyesha mazuri tu ya muda huo Ila anakuficha madhara ya siku zijazo.watanzania ni nani amewaloga? Mnatafutiana mabaya huku hamjui kesho yenu na vizazi vyenu? Hivi mnadhani Mungu ataunyamazia uovu huu?
 
vipi ukisoma ulichoandika unakielewa?...

lakini tujitahidi tuungane pamoja tukatae uhuni ndani ya nchi yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…