Pre GE2025 Ahobokile Mwaitenda anusurika kuuawa kwa kuukosoa mkataba wa bandari!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Siku za maza kuanguka hazipo mbali, maumivu ya kichwa huanza kidogo kidogo
 
Hata wewe unaamini watekaji wanafanya hivyo kama stori hii ilivyo??
Sijaongelea mtu specific, nimeongelea aina ya watu, nimetaja watu.

Unakataa kwamba wasiojulikana hawatishi na hawateki intellectual/politico types?

Sina specifics za hii habari. Mwaitenda anafunguka sana vuta subira kidogo tu tutapata mkanda wote.
 
Ndo.shida ya kuwa na kiongozi wa nchi kilaza.kama.uyuu
 
Hapo SASA na Mimi naanza kupata picha Kwa Nini huuu uwekezaji unalazimishwa Sana Kwa maslahi ya nani ?
 
Tusipokuwa makini hata mlima Kilimanjaro siku moja atauziwa mwarabu. Tuna viongozi washamba sana


Tunataka BANDARI zetu tulipigania Uhuru Kwa kutaka Mali zetu Leo Samia MANGUNGO anagawa Kwa waarabu , DPWORLD waondoke
Hakuna anayetaka kuuza sehemu yoyote ya JMT, umepotoshwa na wewe umeingia mazima kwenye kuamini habari za uzushi.
 
Msilipue makanisa please..
Tunataka Amani...tupishane Kwa hoja

Amani ni faida kwetu sote
Kuna mambo mengi umepishana kwa hoja ila ktk hili suala hoja zako nyingi zimekuwa hazina mashiko. Mara useme wanaoidai Tanganyika ni warundi, mara watalipua makanisa, mara kuna suala la udini ktk bandari yaani umekuwa kiroja. Waache watanganyika wadai mali zao.
 
RUBBISH.
 
Watanzania kwa ujumla wetu tunazo mali zetu leo, kesho na kesho kutwa. Hizi hulka za kishenzi za kibaguzi zitashindwa milele, tupo wengi tunaiombea mema Tanzania.
 
Hawa wanaofanya hivi ni Interahamwe wa UVCCM.

Sasa Imagine Wananchi wakiamua kujichukulia sheria mkononi?
 
Kwa namna hii inabidi tutembee na silaha hata zile za jadi ili wakitokea hawa wahuni ni kumuwahi tu
 
Tusipokuwa makini hata mlima Kilimanjaro siku moja atauziwa mwarabu. Tuna viongozi washamba sana


Tunataka BANDARI zetu tulipigania Uhuru Kwa kutaka Mali zetu Leo Samia MANGUNGO anagawa Kwa waarabu , DPWORLD waondoke
Bring back Tanganyika
 
14. Umoja wa Waarabu Tanganyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…