Ahsante Kikwete, utajiri mpya Tanzania

Okay...
 
Wewe faiza niko na anatomy Halafu UE karibu najua humpendi kikwete ila wewe ni mtabakishaji mno udini udini utakuua acha
 
Mikataba itakayosainiwa hapo iwe na maslahi kwa Taifa.

Pamoja na ile gas ya Helium

Afadhali tutoe shukrani kwa MUNGU hii mikataba ya hizi rasilimali itasainiwa awamu hii ya JPM pengine uzalendo utatawala, laiti ingekuwa enzi za mkweree wangepewa WACHINA na mtoto wa mfalme angechukua 10% yake kwa niaba ya familia!!!
 
Halafu ndefu Sana inachosha
 
Kumbuka kuwa zile safari za Kikwete bila kuchoka ndiyo zilizozaa matunda kwa kuwakinaisha wawekezaji kuwa Tanzania ni salama na waje kuwekeza katika utafiti

Zile safari alikuwa anakwenda kununua suti na kujitibia maradhi yake pamoja na kwenda kula BATA na wakina BOYS TO MEN!!!
 
Wewe faiza niko na anatomy Halafu UE karibu najua humpendi kikwete ila wewe ni mtabakishaji mno udini udini utakuua acha

Wewe hata sikuelewi. Nyie ndiyo mnaokunywa nishati badala ya kutumia kwenye magari.

Hiyo ethanol aka gongo ikikutoka kichwani rudi uandike tena labda ntakuelewa.
 
Zile safari alikuwa anakwenda kununua suti na kujitibia maradhi yake pamoja na kwenda kula BATA na wakina BOYS TO MEN!!!

Zile picha za Boyz to men ukichanganya na matangazo yake kwenye ligi kuu ya Uingereza ndiyo yaliifanya Tanzania kwa mara ya kwa kuipiku Kenya kwenye utalii.

Ma sha Allah Kikwete yupo juu sana.
 
Kiongozi wa ile kamati alikuwa jaji mstaafu mark Bomani, Zitto alikuwa mjumbe wa kamati acha kupotosha.
Kaka kabla ya hiyo kamati, Kikwete akiwa Waziri wa madini, ilitumwa timu kwenda Botswana, South Africa na Ghana kujifunza kwa hao wenzentu wanafaidikaje na madini yao, JK na timu yake wala hawakujisumbua kuangalia kilicholetwa kutoka huko na matokeo yake ndio tukaingia kwenye mikataba ya hovyohovyo tu,
Huyo dada FaizaFoxy ni mbabaishaji tu, yeye ni kusifia pasipo sababu, ukiuliza anakwambia ni wa "kwetu"
 
Kama habari hii ndio umeileta wewe kwa mara ya kwanza leo hapa JF basi nimeanza kujiridhisha rasmi JF inaelekea kaburini.

Hii habari sisi kwenye wasapu group yetu tangu jana tunayo na tumetumiana sana video clip za hiyo kitu, nitashangaa kama media houses hawana taarifa hii mpaka leo ndio waje kusoma kwenye uzi huu ati wakupe wewe credit kwa lipi? Isitoshe group let hata wanahabari pia wamo, basi waandishi hao itakuwa mpaka leo British PM wataandika ni David Cameron.

Tanzania ni ya Magufuli na Kikwete atake asitake ni lazima akabidhi Uenyekiti wa ccm kwa Mkatoliki.
 
Nnaona hoja zimekuingia na hauna jipya, iliyobaki tazama video hii uelewe yanayojiri:
Wewe unajua exploration za hiyo graphite katika hilo eneo zilianza lini? wakati wa JK?, unafahamu hilo eneo kabla ya Volt resources lilikuwa la kampuni gani? Na walishafanya Exploration kufikia stage gani?

Ngo maana nakwambia acha ujinga
 

Kikwete yupo juu sana na bado anadunda.

Ma sha Allah.
 
Waandishi wetu wapo insta wanatukanana.. Kuna mmblogi mmoja anahiita king of all bongo social media.. Yupo bussy kutukanana na Mange matusi ya nguoni ambayo huwezi hata kuyasoma..
Taarifa kama hizi wana alergy nazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…