Kwahiyo Zitto ndo alikuwa Kiongozi wa hiyo tume kama ulivyosema hapo mwanzo?bure kabisa
Okay...Swali zuri sana.
Kumbuka kuwa zile safari za Kikwete bila kuchoka ndiyo zilizozaa matunda kwa kuwakinaisha wawekezaji kuwa Tanzania ni salama na waje kuwekeza katika utafiti.
Mali za chini ya ardhi bila kutafutwa hazionekani. Na hao watafutaji inabidi wakinai kwa kuwa convince usalama wao kwanza. Si rahisi kumuingiza mtu na fedha zake kwenye mapori yenye Black Mambas kufanya utafiti tena kwa fedha zake mwenyewe. Hapo uelewe kuwa ile smile ya Kikwete ilifanya kazi kubwa sana unless uwe huwezi kufikiri.
Ni sawa.Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
JK alitengeneza mazingira ambayo yamesababisha wawekezaji kuja na kuanza kufanya utafiti wa madini na hatimaye madini yamepatikana.
Wewe faiza niko na anatomy Halafu UE karibu najua humpendi kikwete ila wewe ni mtabakishaji mno udini udini utakuua achaNaam, jitihada zako mpendwa Rais mstaafu tunaziona.
Sasa tunaiomba Serikali ya Mheshimiwa Magufuli isikubali utajiri huu wa nishati mpya kuhamishwa na badala yake wawekezaji waje kufungua viwanda vya betri zenye ubora duniani hapa hapa Tanzania.
Mtwara kucheleeee.
Volt Resources is targeting to become a preferred supplier of high quality large flake graphite to the emerging high technology industry.
The above objective is supported by Volt:
1.Increasing and optimising our current 179Mt @ 5.1% TGC JORC Resource containing high quality Jumbo and Super Jumbo graphite in Tanzania;
2.Utilising unique skills and experience of board members, stakeholders, customers and partners to develop innovative and competitive project development solutions;
3.Targeting highest margin (i.e. revenue to cost ratio) operations amongst our peers.
Location of Namangale Project -southern Tanzania
- The Mozambican Mobile Belt represents a band of highly metamorphosed rocks extending through East Africa
- Tanzanian graphite appears to contain larger flake sizes however with lower average total graphitic carbon grades than Mozambique
- Tanzania is a very stable political and economic investment destination
- Volt has established excellent local partnerships supporting tenure and approvals
Maiden Inferred JORC Resource
- Maiden total JORC compliant Inferred Resource of 179Mt @ 5.1% TGC
- Total of 82 RC holes and 9 diamond drill holes
- Very shallow resource (<100m) / Low cost deposit to explore and mine
- Infill drilling program to commence in April 2016
- Diamond drilling test-work ongoing; focused on graphite recovery and product quality of concentrates following flotation
Namangale PFS Underway
A Pre-Feasibility Study has commenced for the Namangale Project including:
- Metallurgical testwork: Flake size and concentrate optimization underway to refine the metallurgy of the project
- Marketing: MOUs with reputable end-users signed by mid-2016
- Mine planning: Several production options being considered to identify our target market and optimal market entry production point
- Plant and infrastructure: Design work to 25% capital and operating cost accuracy
- Experienced firm Battery Limits to deliver the PFS by latest Q4 2016
- Tenure and approvals: Progressing in parallel with PFS schedule
Summary
1.Volt Resources is developing the quality Namangale graphite project in southern Tanzania - the most prospective graphite territory in the world
2.Predicted strong future demand growth for the Super Jumbo and Jumbo flake size graphite product contained at Namangale
3.Fully funded Pre-Feasibility Study to deliver a largely derisked Namagale project in 2016
4.Volt board & management have demonstrated a strong focus on delivery of commitments and targets
5.Volt's development stage represents significant value upside for resources investors interested in exposure to the future high technology industry supply chain.
To view the presentation, please visit:
http://abnnewswire.net/lnk/6T2L74Q1
About Volt Resources Ltd
Volt Resources Ltd (ASX:VRC) is a graphite exploration company listed on the Australian Stock Exchange under the ASX code VRC. The Company is focused on the exploration and development of the Jumbo Flake Namangale graphite project in Tanzania which has the potential to add to value for shareholders.
The Namangale Project is one of the largest graphite deposit in Tanzania containing a JORC compliant Inferred Resource of 179Mt @ 5.1% TGC. The project is exceptionally well located in South Eastern Tanzania being 140km from a deep-water port and 10km from sealed roads. Mineralisation at the three drilled deposits, occurs from surface and remains open in all directions. After the completion of this the recent capital raising the Company is now fully funded to complete the Pre-Feasibility Study into commencing production of high quality flake graphite targeting the rapidly expanding lithium-ion battery market. Volt has established a dominant tenement position in this extremely well located graphite rich part of Tanzania.
Source:Volt Resources Limited (ASX:VRC) Investor Presentation - March 2016
Mikataba itakayosainiwa hapo iwe na maslahi kwa Taifa.
Pamoja na ile gas ya Helium
Halafu ndefu Sana inachoshaNaam, jitihada zako mpendwa Rais mstaafu tunaziona.
Sasa tunaiomba Serikali ya Mheshimiwa Magufuli isikubali utajiri huu wa nishati mpya kuhamishwa na badala yake wawekezaji waje kufungua viwanda vya betri zenye ubora duniani hapa hapa Tanzania.
Mtwara kucheleeee.
Volt Resources is targeting to become a preferred supplier of high quality large flake graphite to the emerging high technology industry.
The above objective is supported by Volt:
1.Increasing and optimising our current 179Mt @ 5.1% TGC JORC Resource containing high quality Jumbo and Super Jumbo graphite in Tanzania;
2.Utilising unique skills and experience of board members, stakeholders, customers and partners to develop innovative and competitive project development solutions;
3.Targeting highest margin (i.e. revenue to cost ratio) operations amongst our peers.
Location of Namangale Project -southern Tanzania
- The Mozambican Mobile Belt represents a band of highly metamorphosed rocks extending through East Africa
- Tanzanian graphite appears to contain larger flake sizes however with lower average total graphitic carbon grades than Mozambique
- Tanzania is a very stable political and economic investment destination
- Volt has established excellent local partnerships supporting tenure and approvals
Maiden Inferred JORC Resource
- Maiden total JORC compliant Inferred Resource of 179Mt @ 5.1% TGC
- Total of 82 RC holes and 9 diamond drill holes
- Very shallow resource (<100m) / Low cost deposit to explore and mine
- Infill drilling program to commence in April 2016
- Diamond drilling test-work ongoing; focused on graphite recovery and product quality of concentrates following flotation
Namangale PFS Underway
A Pre-Feasibility Study has commenced for the Namangale Project including:
- Metallurgical testwork: Flake size and concentrate optimization underway to refine the metallurgy of the project
- Marketing: MOUs with reputable end-users signed by mid-2016
- Mine planning: Several production options being considered to identify our target market and optimal market entry production point
- Plant and infrastructure: Design work to 25% capital and operating cost accuracy
- Experienced firm Battery Limits to deliver the PFS by latest Q4 2016
- Tenure and approvals: Progressing in parallel with PFS schedule
Summary
1.Volt Resources is developing the quality Namangale graphite project in southern Tanzania - the most prospective graphite territory in the world
2.Predicted strong future demand growth for the Super Jumbo and Jumbo flake size graphite product contained at Namangale
3.Fully funded Pre-Feasibility Study to deliver a largely derisked Namagale project in 2016
4.Volt board & management have demonstrated a strong focus on delivery of commitments and targets
5.Volt's development stage represents significant value upside for resources investors interested in exposure to the future high technology industry supply chain.
To view the presentation, please visit:
http://abnnewswire.net/lnk/6T2L74Q1
About Volt Resources Ltd
Volt Resources Ltd (ASX:VRC) is a graphite exploration company listed on the Australian Stock Exchange under the ASX code VRC. The Company is focused on the exploration and development of the Jumbo Flake Namangale graphite project in Tanzania which has the potential to add to value for shareholders.
The Namangale Project is one of the largest graphite deposit in Tanzania containing a JORC compliant Inferred Resource of 179Mt @ 5.1% TGC. The project is exceptionally well located in South Eastern Tanzania being 140km from a deep-water port and 10km from sealed roads. Mineralisation at the three drilled deposits, occurs from surface and remains open in all directions. After the completion of this the recent capital raising the Company is now fully funded to complete the Pre-Feasibility Study into commencing production of high quality flake graphite targeting the rapidly expanding lithium-ion battery market. Volt has established a dominant tenement position in this extremely well located graphite rich part of Tanzania.
Source:Volt Resources Limited (ASX:VRC) Investor Presentation - March 2016
Kumbuka kuwa zile safari za Kikwete bila kuchoka ndiyo zilizozaa matunda kwa kuwakinaisha wawekezaji kuwa Tanzania ni salama na waje kuwekeza katika utafiti
Wewe faiza niko na anatomy Halafu UE karibu najua humpendi kikwete ila wewe ni mtabakishaji mno udini udini utakuua acha
Zile safari alikuwa anakwenda kununua suti na kujitibia maradhi yake pamoja na kwenda kula BATA na wakina BOYS TO MEN!!!
Kaka kabla ya hiyo kamati, Kikwete akiwa Waziri wa madini, ilitumwa timu kwenda Botswana, South Africa na Ghana kujifunza kwa hao wenzentu wanafaidikaje na madini yao, JK na timu yake wala hawakujisumbua kuangalia kilicholetwa kutoka huko na matokeo yake ndio tukaingia kwenye mikataba ya hovyohovyo tu,Kiongozi wa ile kamati alikuwa jaji mstaafu mark Bomani, Zitto alikuwa mjumbe wa kamati acha kupotosha.
Kama habari hii ndio umeileta wewe kwa mara ya kwanza leo hapa JF basi nimeanza kujiridhisha rasmi JF inaelekea kaburini.Na waandishi wa habari mtakaoiandika habari hii magazetini mkumbuke credits kwa JF na FaizaFoxy aliyewajuza. Maana wengi wenu mmekalia kutafuta habari za udaku tu, habari muhimu za uchumi na malighafi inayobadilisha aina ya magari duniani ipo hapa kwetu Tanzania na yenye ubora kuliko yoyote ingine duniani nyie hamna hata habari kwa kuendeleza udaku wa kujazana ujinga tu.
Wewe unajua exploration za hiyo graphite katika hilo eneo zilianza lini? wakati wa JK?, unafahamu hilo eneo kabla ya Volt resources lilikuwa la kampuni gani? Na walishafanya Exploration kufikia stage gani?Nnaona hoja zimekuingia na hauna jipya, iliyobaki tazama video hii uelewe yanayojiri:
- Tanzania is a very stable political and economic investment destination
Hongera Mwalimu J.K. Nyerere kwa misingi mizuri ya amani na utulivu wa Watanzania, hongera FaizaFoxy kwa kutuwekea habari hii.Na waandishi wa habari mtakaoiandika habari hii magazetini mkumbuke credits kwa JF na FaizaFoxy aliyewajuza.
Kaka kabla ya hiyo kamati, Kikwete akiwa Waziri wa madini, ilitumwa timu kwenda Botswana, South Africa na Ghana kujifunza kwa hao wenzentu wanafaidikaje na madini yao, JK na timu yake wala hawakujisumbua kuangalia kilicholetwa kutoka huko na matokeo yake ndio tukaingia kwenye mikataba ya hovyohovyo tu,
Huyo dada FaizaFoxy ni mbabaishaji tu, yeye ni kusifia pasipo sababu, ukiuliza anakwambia ni wa "kwetu"
Kikwete yupo juu sana na bado anadunda.
Ma sha Allah.
Hahaha umempa kitu kwanza= ladha
Waandishi wetu wapo insta wanatukanana.. Kuna mmblogi mmoja anahiita king of all bongo social media.. Yupo bussy kutukanana na Mange matusi ya nguoni ambayo huwezi hata kuyasoma..Na waandishi wa habari mtakaoiandika habari hii magazetini mkumbuke credits kwa JF na FaizaFoxy aliyewajuza. Maana wengi wenu mmekalia kutafuta habari za udaku tu, habari muhimu za uchumi na malighafi inayobadilisha aina ya magari duniani ipo hapa kwetu Tanzania na yenye ubora kuliko yoyote ingine duniani nyie hamna hata habari kwa kuendeleza udaku wa kujazana ujinga tu.