Mkuu, wale wanafanya kazi kwa maelekezo ya serikali. Usiwalaumu waoUnajua hao jamaa ni waajabu,wadau hapo juu walioenda Bod wanasema VRF kabla ya tamko la mama bado ipo,Sasa jiulize mbona wao walituingizia 15% hata sisi ambao tulikuwa tushaanza kulipa na sheria ikatukuta tena kwa mkataba wa zamani?Nionavyo mimi HESLB pale bila Raisi kuwapiga chini baadhi ya watendaji akili zao hazitawakaa sawa.Walishaambiwa waondoe VRF kwakuwa ni mzigo mzito hawaelewi.
Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
Na kama ndo hivyo haina Mana tena,bora waache tu,viendelee kuwepo,chukua ulikopeshwa 8mil,wakakuwekea takataka zao deni likasoma 14 million,Sasa yafaa nini kusema VRF ya Nyuma unaiacha?Sasa kama VRF ya nyuma baado ipo tumeumia.
Nimejihakikishia. Wamerekebisha
Security code ni hayo maandishi yenye herufi na namba za ajabu ajabu, unapaswa kuyajaza kwenye sehemu ya secury code kama yanavyo onekana, herufi kubwa kwa kubwa, ndogo kwa ndogo na namba vilevile. Ni mifumo ya kiusalama ili kuzuia automated bonimh
User name yako ni index number ya form four na mwaka ulohitimu kama huo mfano alokuonyesha unavyoonekana
Mimi nimeshindwa kabisa kuingia kila nikiweka index namba naambiwa nimekosea. Sijui nakosea wapi ndugu zangu. Na kwenye password sijaelewa.
Mpaka ufanye registration kwanza ndo huko utagenerate password.Asante na password ni ipi? Au unaweka neno lako lolote?
Mi pia nimeona hiiKuna uhuni na wizi mwingine unafanyika wadau. Kwenye salary slip ya june makato yamekatwa kama kawaida halafu deni linasoma kiasi kilekile cha mwezi may. Yaani fedha imekatwa kwenye salary lakini kwenye slip halijapungua haya mia. Fatilieni na kwenu wadau
Ni kweli hata mi pia nimeona,ishu kama hii nakumbuka hata mwaka flani iliwahi tokea,Hawa jamaa sijui wanatuonaje yaaniMi pia nimeona hii
Ikitokea hivo wanarekebisha vipi sasa?Ni kweli hata mi pia nimeona,ishu kama hii nakumbuka hata mwaka flani iliwahi tokea,Hawa jamaa sijui wanatuonaje yaani
Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
Wadau walilamikia hilo suala wakarekebisha baadae kama baada ya wiki hiviIkitokea hivo wanarekebisha vipi sasa?
OkayWadau walilamikia hilo suala wakarekebisha baadae kama baada ya wiki hivi
Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
Huu sio uhuni, kwa payroller mpaka apate statement mpya ndio anabadilisha deni.Kuna uhuni na wizi mwingine unafanyika wadau. Kwenye salary slip ya june makato yamekatwa kama kawaida halafu deni linasoma kiasi kilekile cha mwezi may. Yaani fedha imekatwa kwenye salary lakini kwenye slip halijapungua haya mia. Fatilieni na kwenu wadau
Dah,kweli hilo suala mwezi wa tano na mwezi wa sita deni lipo vile vile,hizi dharau za wazi kwetu.Ni kweli hata mi pia nimeona,ishu kama hii nakumbuka hata mwaka flani iliwahi tokea,Hawa jamaa sijui wanatuonaje yaani
Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
Utuletee mrejeshoNgoja niende huko bodi nikajue mbivu na mbichi.
Waulize pia na hili swala la kukata hela lakini deni liko pale paleNgoja niende huko bodi nikajue mbivu na mbichi.