Usilazimishe kuingilia uhuru, hisia na mitazamo ya watu.Kwa nini ushukuru kwa kupewa haki yako?Kwanza unaelewa kuwa haki huwa haiombwi wala kutolewa bure bali huchukuliwa?Kwa nini umshukuru Rais kwa kutimiza wajibu wake?Yaani umwajiri Rais ambae unamlipa mshahara kwa kukufanyia kazi kadhaa wa kadha kisha akishafanya hizo kazi unamshukuru wakati tayari ni wajibu wake!Akili za wapi hizi!!!
Huyo jamaa ndio zake, fuatilia majibu yake kwenye majukwaa tofauti anapenda kujifanya mjuaji na mjivuni!Usilazimishe kuingilia uhuru, hisia na mitazamo ya watu.
Suala la haki na wajibu katika nchi siyo suala la uhuru,hisia na mtazamo wa mtu binafsi.Usilazimishe kuingilia uhuru, hisia na mitazamo ya watu.
Kila mtu ana mtazamo wake kuhusu haki. Mtazamo wako huwezi kuulazimisha uwe mtazamo wa kila mtu.Suala la haki na wajibu katika nchi siyo suala la uhuru,hisia na mtazamo wa mtu binafsi.
Kiasi unacholipa kila mweziHivi hii amount repaid ni pesa ipi wakuu?
Inakataa kwakuwa hujafata format mfumo inaotaka. Hakikisha baada ya S kuna zero yani S0xxx.0xxx.mwaka wengi mnafeli hapoMkuu kila nikiingiza FORM FOUR index namba yangu inaniletea “ Incorrect Index Number Format”….Nikienda kwenye advanced search by names kwenye vyuo/taasisi vilivyopo ni vya Tanzania tu hakuna vyuo vya nje.
Advise please? Au system ina cut-off ya miaka kwa waliomaliza zamani kidogo haitambui? Mimi nimemaliza form four mwaka 2002.
Mpk hapo ushakosea kuingiza ndio maana haifanyi kitu, umeingiza namba bila kufata maelekezo. Baada ya S kuna 0, naona hujaweka. Ukiiweka system ina search automatically bila command.Hivi ukiingiza namba ya form four unafanyaje kwenda hatua inayofuata?View attachment 1846441
Malizia na mwaka uliomaliza f4 itahama yenyeweHivi ukiingiza namba ya form four unafanyaje kwenda hatua inayofuata?View attachment 1846441
Mkuu Mimi nishaweka index number imekubali .Ila tatizo nikiweka zile security code inagoma eti mpaka ziwe at least 6 characters. Lakini hizo herifu wanazo toa azifiki 6 ni 4 tu.Malizia na mwaka uliomaliza f4 itahama yenyewe
Returned au Repaid?Wadau naomba msaada kwa hili mimi kwenye returned amount wameweka 470,000 maana yake nini
Haki ni suala la katiba na sheria wala siyo mtazamo wa mtu binafsi.Kila mtu ana mtazamo wake kuhusu haki. Mtazamo wako huwezi kuulazimisha uwe mtazamo wa kila mtu.
Siyo kila utamaduni ni utamaduni mzuri.Kusema asante pale unapopewa haki yako siyo jambo sahihi wala siyo jambo zuri.Kwanza kushukuru ni tamaduni ya Mtanzania, hata akitoa pesa kununua pipi dukani atasema napmba pipi huku akitoa pesa, na akipewa atasema ahsante. Ni ustaarabu tu.
ReturnedReturned au Repaid?
Sawa, kamsujudie Mbowe.Haki ni suala la katiba na sheria wala siyo mtazamo wa mtu binafsi.
Siyo kila utamaduni ni utamaduni mzuri.Kusema asante pale unapopewa haki yako siyo jambo sahihi wala siyo jambo zuri.
Wenye akili timamu tunakataa kushukuru pale ambapo mtu unapewa haki yako kwa sababu hili litamfanya anaetoa haki aone kuwa kutoa haki ni mapenzi yake au ni kudra yake au ni hisani yake au ni hiari yake wakati suala la kutoa haki ni la lazima kwa sababu lipo kwa mujibu wa katiba na sheria.
Hili suala la viongozi wetu kuona kuwa kutupa haki zetu ni mapenzi yao limesababisha waongoze nchi hii kwa kudra na hisani yao badala ya kuongoza kwa mujibu wa katiba na sheria.
Suala hili limesababisha viongozi wetu kuona kuwa katiba siyo chochote wala lolote kwa sababu watu kama ninyi mmeshawafanya viongozi wetu waone kuwa kutupa haki zetu ni hiari yao na wala siyo takwa la katiba.
Sawa, kamsujudie Mbowe.Haki ni suala la katiba na sheria wala siyo mtazamo wa mtu binafsi.
Siyo kila utamaduni ni utamaduni mzuri.Kusema asante pale unapopewa haki yako siyo jambo sahihi wala siyo jambo zuri.
Wenye akili timamu tunakataa kushukuru pale ambapo mtu unapewa haki yako kwa sababu hili litamfanya anaetoa haki aone kuwa kutoa haki ni mapenzi yake au ni kudra yake au ni hisani yake au ni hiari yake wakati suala la kutoa haki ni la lazima kwa sababu lipo kwa mujibu wa katiba na sheria.
Hili suala la viongozi wetu kuona kuwa kutupa haki zetu ni mapenzi yao limesababisha waongoze nchi hii kwa kudra na hisani yao badala ya kuongoza kwa mujibu wa katiba na sheria.
Suala hili limesababisha viongozi wetu kuona kuwa katiba siyo chochote wala lolote kwa sababu watu kama ninyi mmeshawafanya viongozi wetu waone kuwa kutupa haki zetu ni hiari yao na wala siyo takwa la katiba.
Sawa, kamsujudie Mbowe.Haki ni suala la katiba na sheria wala siyo mtazamo wa mtu binafsi.
Siyo kila utamaduni ni utamaduni mzuri.Kusema asante pale unapopewa haki yako siyo jambo sahihi wala siyo jambo zuri.
Wenye akili timamu tunakataa kushukuru pale ambapo mtu unapewa haki yako kwa sababu hili litamfanya anaetoa haki aone kuwa kutoa haki ni mapenzi yake au ni kudra yake au ni hisani yake au ni hiari yake wakati suala la kutoa haki ni la lazima kwa sababu lipo kwa mujibu wa katiba na sheria.
Hili suala la viongozi wetu kuona kuwa kutupa haki zetu ni mapenzi yao limesababisha waongoze nchi hii kwa kudra na hisani yao badala ya kuongoza kwa mujibu wa katiba na sheria.
Suala hili limesababisha viongozi wetu kuona kuwa katiba siyo chochote wala lolote kwa sababu watu kama ninyi mmeshawafanya viongozi wetu waone kuwa kutupa haki zetu ni hiari yao na wala siyo takwa la katiba.
Kuna kiasi ulikuwa umepangiwa lakini kiasi hicho hukukitumia wewe hivyo automatiki kilirudishwa bodi na hicho hudaiwi. Nadhani ndo maana yakeReturned
Kumbe sipo peke yangu.Mkuu Mimi nishaweka index number imekubali .Ila tatizo nikiweka zile security code inagoma eti mpaka ziwe at least 6 characters. Lakini hizo herifu wanazo toa azifiki 6 ni 4 tu.
Sasa hapa ndiyo umejenga hoja?CCM mna matatizo gani hadi mnakuwa wapumbavu kiasi hiki?!Kama wewe ni mwanaume pambana na mimi kwa hoja na wala siyo talalila za hapa na pale!WTF!!Sawa, kamsujudie Mbowe.
Huo ndio utamaduni unaouweza kwa asilimia 100.
Kama mnatumia simu jaribu kuweka auto rotation, no zipo zimejificha kutokana na space display ya simuKumbe sipo peke yangu.
Je enyi majamaaa mfanyaje kupata 6 characters security code?
Nimetumia browser zote maarufu sijaambulia kitu