Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Hata ningepunguziwa hii ingetoa ahueni. Hiyo system inaangalia 'sura'
Kama deni lako lilikuwa la muda mrefu wamepunguza makato makubwa jamaa akimaliza 2013, alikuwa anadaiwa 8,500,000/= amepunguziwa hadi 5,200,000/=
 
Swala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? Aiseee
Umewaza kindezi....uliza wenye madai serikalini hata yakikaa miaka 20 kama huwa inaongezeka thamani! Zaidi zaidi utakatwa kodi. Ili hiyo sheria iwe fair basi ifanye kazi pande zote
 
Umewaza kindezi....uliza wenye madai serikalini hata yakikaa miaka 20 kama huwa inaongezeka thamani! Zaidi zaidi utakatwa kodi. Ili hiyo sheria iwe fair basi ifanye kazi pande zote

Wadau heslb waliahidi kutuma statement kwenye e-mail za wanufaika je wamefanya hivyo?
 
Kama deni lako lilikuwa la muda mrefu wamepunguza makato makubwa jamaa akimaliza 2013, alikuwa anadaiwa 8,500,000/= amepunguziwa hadi 5,200,000/=

Kikubwa waondoe kabisa value retention fee pamoja na penalty maana wanazingua sana
 
Kama deni lako lilikuwa la muda mrefu wamepunguza makato makubwa jamaa akimaliza 2013, alikuwa anadaiwa 8,500,000/= amepunguziwa hadi 5,200,000/=
Ili muda uonekane mrefu, je unapimwa na nini?
Walinikopesha 8,480,000/- kufikia 2014.
Total charges ni, 1,156,186.40
Mpaka sasa nimelipa 7,129,850 kufikia June.
Kwa sasa deni linasomeka 2,506,336.
Je nimepunguziwa nini hapo?
Ndio maana nikasema, hiyo system inaangalia ujirani?
 
Ili muda uonekane mrefu, je unapimwa na nini?
Walinikopesha 8,480,000/- kufikia 2014.
Mpaka sasa nimelipa 7,129,850 kufikia June.
Kwa sasa deni linasomeka 2,506,336.
Je nimepunguziwa nini hapo?
Ndio maana nikasema, hiyo system inaangalia ujirani?

Hilo den umelionaje?maana hawatoi statement kwa sasa
 
Nipo njiani kwenda bodi huku hasira zimenijaa,yani leoo ndo nitaitiwa police kama nikikuta mambo tofauti na vile natarajia.Maana nahisi nimemaliza deni lao baada ya mama Samia kuondoa makato kandamizi.

Nitawajuza
 
Nipo njiani kwenda bodi huku hasira zimenijaa,yani leoo ndo nitaitiwa police kama nikikuta mambo tofauti na vile natarajia.Maana nahisi nimemaliza deni lao baada ya mama Samia kuondoa makato kandamizi.

Nitawajuza

Tupé mrejesho umeonana nao watu wa loan board?
 
HELSB ni takataka kama takataka nyingine tu wanajilipa mijihela miingi kwa hela za wanufaika wa mkopo ,hapa ndiomaana riba zilikua juu sana kuliko hata kwenye mabenki ya biashara, walitakiwa wauawe woote hawa jamaa, wana roho mbaya utadhani wao sio watanzania
 
Tupé mrejesho umeonana nao watu wa loan board?
Ndiyo mkuu nimekaa nao na kuelekezana.Nimekuta kama nilivyotegemea,deni limeisha hadi raha.Mungu ambariki huyu mama Samia kwakweli.Kuna watu nimekuta wamelipa hadi wanaidai bodi tena,jamaa akaauwasha moto anataka hela yake apewe muda huohuo,tukabaki tunacheka watu wote.Akatulizwa akaambiwa utaratibu akajaza fomu atarudishiwa.So ukiwa umemaliza unapewa liquidation letter unaipeleka kwa mwajili wako ili akuondoe kwenye makato.


Mungu mbariki mama Samia
 
Ndiyo mkuu nimekaa nao na kuelekezana.Nimekuta kama nilivyotegemea,deni limeisha hadi raha.Mungu ambariki huyu mama Samia kwakweli.Kuna watu nimekuta wamelipa hadi wanaidai bodi tena,jamaa akaauwasha moto anataka hela yake apewe muda huohuo,tukabaki tunacheka watu wote.Akatulizwa akaambiwa utaratibu akajaza fomu atarudishiwa.So ukiwa umemaliza unapewa liquidation letter unaipeleka kwa mwajili wako ili akuondoe kwenye makato.


Mungu mbariki mama Samia

Sawa ila umesahau ungewaulza kama wameondosha VRF na penalty kwa wanufaika wengine,
 
HELSB ni takataka kama takataka nyingine tu wanajilipa mijihela miingi kwa hela za wanufaika wa mkopo ,hapa ndiomaana riba zilikua juu sana kuliko hata kwenye mabenki ya biashara, walitakiwa wauawe woote hawa jamaa, wana roho mbaya utadhani wao sio watanzania

Nasikia wnaishi maisha ya luxury sana kumbe ndio maana wanawanyonya watanzania wenzao,wanaona Hizi tozo zikiondoshwa wataishi maisha magumu sana
 
Back
Top Bottom