Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Kwa wale wa mikoani tunafanyaje?

Kwani kuna ugumu gani kwa bodi ku-update deni la mdaiwa huko hazina (kwenye salary slip)?
Kuna ofisi za kanda kwenye baadhi ya mikoa, Nenda kwenye website yao kwenye sehemu ya contact us kama sikosei, utakuta wameorodhesha anuani za ofsi zao za kanda na sehemu zilipo. Dodoma zipo njia ya kuelekea UDOM katika jengo la ofsi za mkaguzi wa mahesabu. (Jendengwa area)
 
Kuna ofisi za kanda kwenye baadhi ya mikoa, Nenda kwenye website yao kwenye sehemu ya contact us kama sikosei, utakuta wameorodhesha anuani za ofsi zao za kanda na sehemu zilipo. Dodoma zipo njia ya kuelekea UDOM katika jengo la ofsi za mkaguzi wa mahesabu. (Jendengwa area)
Mwanzani PPF plazaa ghorofa ya Nne
 
Wakuu bodi siwaelewi kabisa.
Nilitarajia baada ya makato ya mwezi wa nane ningebaki nadaiwa pesa kidogo kama elfu 70. Lakin nimejaribu kuingia kwenye account yangu ya bodi nimekuta Deni limepungua kwa sh elfu 21 but salary slip inaonyesha nimekatwa kiwango cha siku zote.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kwanza hata kupunguza makato yao Kama walivyojinasibu wameshindwa, yaani nikuvuta subira tu like kuisha
 
Wakuu nipeni location ya kufika Bodi ya mkopo nikiwa natokea Bagamoyo via Bagamoyo road
Ukifika TAZARA/Mfugale Flyover unatembea tu kwa miguu kama unaelekea Taifa mkononwa kulia.
 
Kama umesahau password jamani inakuaje

Nime-try ku-log in severely ila wapi
 
Kama umesahau password jamani inakuaje

Nime-try ku-log in severely ila wapi
Bonyeza Forget Password itatumwa kwenye namba ya simu iliyopo kwenye dashboard ya helsb,nb namba uliyosajilia kupata taarifa
 
Wakichukua rejesho la mwezi June, Outstanding balance itabaki kama 38k.
Naomba kufahamu,je,hicho kiasi kilichobaki kitakatwa mwezi July kama kilivyo yaani 38k au watakata kiasi cha 15% kama miezi iliyopita?
Na je,ikiwa nitalipa hicho kiasi kitakachobaki yaani 38k kwa Control Number Outstanding balance itaakisi haraka kwenye Salary Slip au ni kipengele tu bora kusubiri?
 
Wakichukua rejesho la mwezi June, Outstanding balance itabaki kama 38k.
Naomba kufahamu,je,hicho kiasi kilichobaki kitakatwa mwezi July kama kilivyo yaani 38k au watakata kiasi cha 15% kama miezi iliyopita?
Na je,ikiwa nitalipa hicho kiasi kitakachobaki yaani 38k kwa Control Number Outstanding balance itaakisi haraka kwenye Salary Slip au ni kipengele tu bora kusubiri?
Lipa control number peleka HESLEB watakupa barua upeleke kwa mwajiri asitishe makato

Sent from my CPH2363 using JamiiForums mobile app
 
Wakichukua rejesho la mwezi June, Outstanding balance itabaki kama 38k.
Naomba kufahamu,je,hicho kiasi kilichobaki kitakatwa mwezi July kama kilivyo yaani 38k au watakata kiasi cha 15% kama miezi iliyopita?
Na je,ikiwa nitalipa hicho kiasi kitakachobaki yaani 38k kwa Control Number Outstanding balance itaakisi haraka kwenye Salary Slip au ni kipengele tu bora kusubiri?
Watakata 38
 
Back
Top Bottom