Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Huyu ndiye tunatakiwa kumkumbusha Ndugai aliambie Bunge kuwa, mama atake asitake tutamwongezea muda wa kuongoza bila kikomo
Kabisa! Hadi achoke mwenyewe! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah sahihi mkuu nacheki sasa hapa naona makato yamefanyika sasa walau nina amani sikulijua hili kabla! Ahsante sana kwa kunitoa ujinga huu!
Mi nikiangalia dashboard ya HELSB pesa imepunguzwa hata mwaka huu but deni kwenye salary slip na dashboard ya account yangu bodi liko tofauti. Salary slip bado liko deni la zaman b4 kuondolewa kwa VRF

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Habari wadau. Nimeangalia deni langu bodi ya mkopo ni Tsh 3.514.598/=, salary slip inaonyesha ni Tsh 4.845.495/= imekaaje hiyo wadau??
 
Vip wakuu, naomba nipate mawili matatu kuhusu deni la Bodi.
1.Ni kweli wanatoa barua ya ku update deni kwenye salary slip?
2.Inachukua muda gani ku process hiyo barua?
3.Inatakiwa uende na documents zipi ili upewe hiyo barua?
4.ofisi za Bodi ya mkopo zipo maeneo gani hapa Dar?
Ahsante
 
Vip wakuu, naomba nipate mawili matatu kuhusu deni la Bodi.
1.Ni kweli wanatoa barua ya ku update deni kwenye salary slip?
2.Inachukua muda gani ku process hiyo barua?
3.Inatakiwa uende na documents zipi ili upewe hiyo barua?
4.ofisi za Bodi ya mkopo zipo maeneo gani hapa Dar?
Ahsante
1. Ndiyoo wanatoaa barua kupeleka kwa mwajiri iloo arekebishe denii

2. Ni muda wa chini ya dakika 10

3. Nenda...na index no ya form four, check no yako, Anwani ya mwajiri..

4. Kwa Dar ofisi ziko Mwenge
 
1. Ndiyoo wanatoaa barua kupeleka kwa mwajiri iloo arekebishe denii

2. Ni muda wa chini ya dakika 10

3. Nenda...na index no ya form four, check no yako, Anwani ya mwajiri..

4. Kwa Dar ofisi ziko Mwenge

Hii barua ni lazima Dsm tu? Au hata mikoa mingine zilipo ofisi zao?!
 
Mi nikiangalia dashboard ya HELSB pesa imepunguzwa hata mwaka huu but deni kwenye salary slip na dashboard ya account yangu bodi liko tofauti. Salary slip bado liko deni la zaman b4 kuondolewa kwa VRF

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app

Pitia pitia post za nyuma wapo walio jibu ni kwamba hakuna mawasiliano ya moja kwa moja kati ya bodi na mwajiri hivyo wapaswa uende bodi wakupe barua utakayo ipeleka kwa mwajiri ili waupdate deni liwe sawa na bodi
 
1. Ndiyoo wanatoaa barua kupeleka kwa mwajiri iloo arekebishe denii

2. Ni muda wa chini ya dakika 10

3. Nenda...na index no ya form four, check no yako, Anwani ya mwajiri..

4. Kwa Dar ofisi ziko Mwenge

Hivi deni la kwenye dash board(online)na lile la kwenye statement unayopewa ni tofauti?
 
Swala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? Aiseee
Rubbish, kwani huu Ni mkopo wa biashara? This is basically a service to the poor... ilinidi itolewa bure kwa mwenye sifa. Elimu Ni haki ya kila mtu especially your generation
 
Nimecheki online kupitia dashboard ya bodi! Kwenya salary sleep bado naonekana nadaiwa mil 4 wakati wao bodi ni 1.4 mil. Last week nilipomuuliza afisa utumishi akaniambia niwasiliane na bodi wanipe barua ya deni langu halisi ili Afisa utumishi alirekebishe sasa maajabu ninapocheki bodi mwezi huu wa saba deni langu halina tofauti na mwezi wa saba yaani ni ile ile 1.4 mil ilihali mwezi wa saba nimekatwa makato kama kawaida!

Hivi value retention fee na penalty vimeondoshwa kabisa?
 
1. Ndiyoo wanatoaa barua kupeleka kwa mwajiri iloo arekebishe denii

2. Ni muda wa chini ya dakika 10

3. Nenda...na index no ya form four, check no yako, Anwani ya mwajiri..

4. Kwa Dar ofisi ziko Mwenge
Mwenge sehemu gani mkuu
 
Kwa wale wa mikoani tunafanyaje?

Kwani kuna ugumu gani kwa bodi ku-update deni la mdaiwa huko hazina (kwenye salary slip)?
Nasikia mikoani wana branches, sina uhakika kama ni mikoa yote
 
Back
Top Bottom