Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Ndiyo mkuu nimekaa nao na kuelekezana.Nimekuta kama nilivyotegemea,deni limeisha hadi raha.Mungu ambariki huyu mama Samia kwakweli.Kuna watu nimekuta wamelipa hadi wanaidai bodi tena,jamaa akaauwasha moto anataka hela yake apewe muda huohuo,tukabaki tunacheka watu wote.Akatulizwa akaambiwa utaratibu akajaza fomu atarudishiwa.So ukiwa umemaliza unapewa liquidation letter unaipeleka kwa mwajili wako ili akuondoe kwenye makato.


Mungu mbariki mama Samia
Mkuu deni lako limeishaje?
Ni baada ya ya kutoa,
1. Administration fee
2. Penalty 10%
3. VRF ?
Tusaidie kujibu hapa tukapambane nao
 
Sawa ila umesahau ungewaulza kama wameondosha VRF na penalty kwa wanufaika wengine,
Nafikiri sisi tulioanza kukatwa miaka ya 2010-2014, VRF haikuwekwa kwenye slip zetu. Kwahiyo tukichukua statement sasa hivi wanaiweka VRF before 1st May hivyo deni linaongezekaka.
 
Nafikiri sisi tulioanza kukatwa miaka ya 2010-2014, VRF haikuwekwa kwenye slip zetu. Kwahiyo tukichukua statement sasa hivi wanaiweka VRF before 1st May hivyo deni linaongezekaka.

Mh Rais pamoja na Mh Waziri wa Elimu wana nia nzuri ya kuwasaidia wanufaika wa bod ya mikopo ili walipe pesa waliokopeshwa tu bila tozo humiza lakin changamoto iko bod ya mikopo haitaki wanufaika wapate huo unafuu ,sasa bod ya mikopo itoke hadharan itwambie kwanini haitaki kuondoa tozo hizo ambazo zinawaumiza wanufaika
 
Nafikiri sisi tulioanza kukatwa miaka ya 2010-2014, VRF haikuwekwa kwenye slip zetu. Kwahiyo tukichukua statement sasa hivi wanaiweka VRF before 1st May hivyo deni linaongezekaka.

Value retention fee ifutwe ,maana sasa hivi unafuu haupo kabisa bado deni ni bichi,hawa watu wa loan board walishazoea kuwaumiza watanzania wenzao sasa wamebuni tusheria twao ili waendelee kuumiza wenzao what is VRF before 1 May 2021?kama sio kuendelea kufanya den lisilipike ni nin?kama hawataki kuondoa tozo zao waachie ofsi ili aajiriwe watu watakao ondoa tozo hizi ,
 
Naombeni kwa anayejua jinsi ya kupata clearance letter kutoka bodi ya mikopo ili nipeleke kwa mwajiri astopishe makato yangu maana nimemaliza Deni...nipo wilayani na nimejaribu kuwaandikia e mail na kuwapigia simu lakini hawa respond. Msaada plz maana siwezi kusafiri kwa Sasa kuwafuata mjini kwenye ofisi zao...natanguliza shukrani
 
Naombeni kwa anayejua jinsi ya kupata clearance letter kutoka bodi ya mikopo ili nipeleke kwa mwajiri astopishe makato yangu maana nimemaliza Deni...nipo wilayani na nimejaribu kuwaandikia e mail na kuwapigia simu lakini hawa respond. Msaada plz maana siwezi kusafiri kwa Sasa kuwafuata mjini kwenye ofisi zao...natanguliza shukrani

Uko mkoa gan?nenda kwenye ofsi zao za kanda,utapata huduma?
 
Mh Rais pamoja na Mh Waziri wa Elimu wana nia nzuri ya kuwasaidia wanufaika wa bod ya mikopo ili walipe pesa waliokopeshwa tu bila tozo humiza lakin changamoto iko bod ya mikopo haitaki wanufaika wapate huo unafuu ,sasa bod ya mikopo itoke hadharan itwambie kwanini haitaki kuondoa tozo hizo ambazo zinawaumiza wanufaika
Mh waziri wa Elimu muondoe kabisa katika hili, huyu mama hama msaada wowote kwa watanzania, alikuwa mtu makini sana kipindi ni katibu mkuu NECTA lakini baada ya hapo hana lolote, siasa zimejaa, anachuki na wadau wa elimu, yeye kila siku ni kuwaza jinsi ya kuwaumiza watu Ndalichako hafai kabisa. Pongezi sana kwa mh Rais mama Samia Suluhu Hassan kwa kuwasaidia wanufaika wa bodi ya mikopo.
 
Mh waziri wa Elimu muondoe kabisa katika hili, huyu mama hama msaada wowote kwa watanzania, alikuwa mtu makini sana kipindi ni katibu mkuu NECTA lakini baada ya hapo hana lolote, siasa zimejaa, anachuki na wadau wa elimu, yeye kila siku ni kuwaza jinsi ya kuwaumiza watu Ndalichako hafai kabisa. Pongezi sana kwa mh Rais mama Samia Suluhu Hassan kwa kuwasaidia wanufaika wa bodi ya mikopo.
Joyce hahusiki kabisa na hili
 
Mh waziri wa Elimu muondoe kabisa katika hili, huyu mama hama msaada wowote kwa watanzania, alikuwa mtu makini sana kipindi ni katibu mkuu NECTA lakini baada ya hapo hana lolote, siasa zimejaa, anachuki na wadau wa elimu, yeye kila siku ni kuwaza jinsi ya kuwaumiza watu Ndalichako hafai kabisa. Pongezi sana kwa mh Rais mama Samia Suluhu Hassan kwa kuwasaidia wanufaika wa bodi ya mikopo.

Sasa nini kifanyike maana bod wamegoma kabisa kutii agizo la Mh Raisi ,yeye aliwaagiza waondoshe value retention fee lakin wanapiga danadana
 
Ndugu zangu msaada wa kulifahamu hili sijui ni mimi peke yangu ama kuna mwingine mwezi wa sita nilipocheki kiasi ninachodaiwa hakina tofauti na mwezi wa saba pamoja na makato yaliyo katwa mwezi wa saba!
 
Ndugu zangu msaada wa kulifahamu hili sijui ni mimi peke yangu ama kuna mwingine mwezi wa sita nilipocheki kiasi ninachodaiwa hakina tofauti na mwezi wa saba pamoja na makato yaliyo katwa mwezi wa saba!
Umecheki kwenye nini ?
Slip au online
 
Umecheki kwenye nini ?
Slip au online

Nimecheki online kupitia dashboard ya bodi! Kwenya salary sleep bado naonekana nadaiwa mil 4 wakati wao bodi ni 1.4 mil. Last week nilipomuuliza afisa utumishi akaniambia niwasiliane na bodi wanipe barua ya deni langu halisi ili Afisa utumishi alirekebishe sasa maajabu ninapocheki bodi mwezi huu wa saba deni langu halina tofauti na mwezi wa saba yaani ni ile ile 1.4 mil ilihali mwezi wa saba nimekatwa makato kama kawaida!
 
Wanadai hela wanapelekewa tarehe 10 ya kila mwezi hivyo ulipocheki inawezekana bado hawajapokea mchango wako wa Julai kutoka kwa mwajiri/hazina
Nimecheki online kupitia dashboard ya bodi! Kwenya salary sleep bado naonekana nadaiwa mil 4 wakati wao bodi ni 1.4 mil. Last week nilipomuuliza afisa utumishi akaniambia niwasiliane na bodi wanipe barua ya deni langu halisi ili Afisa utumishi alirekebishe sasa maajabu ninapocheki bodi mwezi huu wa saba deni langu halina tofauti na mwezi wa saba yaani ni ile ile 1.4 mil ilihali mwezi wa saba nimekatwa makato kama kawaida!
 
Wanadai hela wanapelekewa tarehe 10 ya kila mwezi hivyo ulipocheki inawezekana bado hawajapokea mchango wako wa Julai kutoka kwa mwajiri/hazina

Dah sahihi mkuu nacheki sasa hapa naona makato yamefanyika sasa walau nina amani sikulijua hili kabla! Ahsante sana kwa kunitoa ujinga huu!
 
Back
Top Bottom