Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Kuna bado ka wizi ambako watu hawajakaelewa kamefanyika kihuni sana na Bodi (HESLB) ukijaribu kuangalia Total charges amount hazifanani na je wametumia formula gani kuipata watueleze kwa mfano mm deni langu Disbursed Amount sio kubwa sana ila ile Total charges amount ni kubwa ukilinganisha na wengine wenye Disbursed Amount kubwa zaidi yangu. Pili nikiangalia statement ya zamani niliyoichukua 2016 VRF na Penalty ambazo ndizo tozo zilizokua zinatakiwa kuondolewa hazijapungua kwa kiasi kilichotakiwa ni sehemu tu. HESLB watolee ufafanuzi katika hili na tusikurupuke sana mpk watueleze hiyo total amount charges inachajiwa kwa percent gani kwa kila mnufaika?
Umeligundua hilo
 
Kuna bado ka wizi ambako watu hawajakaelewa kamefanyika kihuni sana na Bodi (HESLB) ukijaribu kuangalia Total charges amount hazifanani na je wametumia formula gani kuipata watueleze kwa mfano mm deni langu Disbursed Amount sio kubwa sana ila ile Total charges amount ni kubwa ukilinganisha na wengine wenye Disbursed Amount kubwa zaidi yangu. Pili nikiangalia statement ya zamani niliyoichukua 2016 VRF na Penalty ambazo ndizo tozo zilizokua zinatakiwa kuondolewa hazijapungua kwa kiasi kilichotakiwa ni sehemu tu. HESLB watolee ufafanuzi katika hili na tusikurupuke sana mpk watueleze hiyo total amount charges inachajiwa kwa percent gani kwa kila mnufaika?
Kuna kawizi kamefanyika kitaalamu sana hasa pale kwenye VRF repaid before 30th April.
 
Kaka nieleweshe hapa!!! Ina maana cjawahi kulipa au ni vip?! Maana wameanza kunikata tangu 2014 lakin statement inaonyesha hivyo
Screenshot_20210702-073605.jpg


Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kwani lazima umtaje mwenda zake kwenye kila kibaya! Aliyeweka hayo makato si ilikuwa kipindi cha JK na yy alijua kula tu bila kununua ndege, kulipia ada watoto up to form 4, bila kujenga bwawa la umeme la mwl Nyerere dam, wala std gauge railway, na bila ubungo interchange, wala Mameli na mahospitali kujenga 😡! Mnamsakama aliyekuwa anawajengea nchi bila hata yy kufaidika🤔!
Kuna watu mnaboa sana! May the merciful God rest the precious soul of our great African hero 💔 Hon Dr JPM in eternal peace and power amen🙏!
"bila yeye kufaidika" 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 you must b kidding
 
Hapa nawafuata bodi au muajiri wangu??! Maana sielew na kwenye salary slip deni limefika 4.4

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Nenda kwanza bodi chukua statement itaonyesha michango yako ya kila mwezi tangia 2014. Wakikupa hiyo kama hakuna mchango uliopelekwa ndio utarudi kwa mwajiri kupambana nae
 
Nimeangalia akaunt yangu, inaonyesha sijawahi kulipa hata sent, while nakatwa since 2019, Nani muhusika, Mwajiri au bodi? Kwani hela ya mkopo inakatwa moja kwa moja hazina au mwajiri ndo anapeleka? Mimi ni mtumishi wa umma
 
Nimeangalia akaunt yangu, inaonyesha sijawahi kulipa hata sent, while nakatwa since 2019, Nani muhusika, Mwajiri au bodi? Kwani hela ya mkopo inakatwa moja kwa moja hazina au mwajiri ndo anapeleka? Mimi ni mtumishi wa umma
Chukua printed statement yako, nenda kwa mwajiri wako akupe uthibitisho kuwa alikuwa analipa bodi, then nenda bodi na huo uthibitisho

Sent from my vivo 1611 using JamiiForums mobile app
 
Kama tunavyojua, kwa mujiba wa katiba yetu Mheshimiwa Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote yule.

Hivyo basi tunapokuwa na rais msikivu tena anayefanyia kazi maoni na malalamiko ya watu wake ni baraka kubwa kwa taifa

Kwa sasa ukiangalia statement ya deni lako kwenye mfumo wa bodi ya mikopo (olas.heslb.go.tz ) utaona kuwa wameondoa tozo zote za VRF, yaani hata zile walizotoza zamani (kabla ya agizo la rais) wameziondoa

Wanufaika wa mikopo tunamshukuru sana Mheshimiwa rais kwa kusikia na kuyafanyia kazi maombi yetu. Tulilalamika sana wakati wa mwendazake lakini tukajibiwa kuwa 'hapangiwi'.

Sasa ni muda wa kila mnufaika mwenye uwezo wa kulipa na alipe, tena wamerahisisha unaweza kulipa hata kwa M-pesa na malipo yako yanaonekana hapohapo kwenye mfumo.

Pia niwakumbushe wadau, twendeni vizuri na mama, naiona katiba mpya hususani wakati wa ungwe yake ya pili Mungu akimjaalia na wananchi wakampa ridhaa.

---- update----
Wadau wengi wameuliza namna ya kuangalia, naamini bodi watatoa maelekezo zaidi lakini kwa hapo ngoja nieleze kwa ufupi.

Ingia kwenye website

View attachment 1830801


Kwenye dashboard (juu kushoto) chagua loan repayment
View attachment 1830804

Kisha baada ya apo, chagua beneficiary/lonee/ employee login

View attachment 1830805

Baada ya hapo ingiza namba yako ya form four kwa format inayo onekana

View attachment 1830806

System itaiangalia namba hiyo kwenye database ya bodi na kukuketea jina lako mnufaika.

Baada ya hapo utathibitisha kuwa ni jina lako kweli kwa ku click hilo jina.

Baada ya hapo utajaza taarifa muhimu kama namba ya simu, email na taarifa za mwajiri pamoja na kutengeneza password.

Ukikamilisha utakua umeshatengeneza account kwenye mfumo wao

Baada ya hapo uta log in as registered user na utaona taarifa zako zote za deni lako. Pia utaona control namba unayoweza kuitumia kulipa mwenyewe.

Natumaini inaeleweka.
NB sijaweka picha za hatua za mwisho kwakua zinaonesha taarifa binafsi za mnufaika.
Naomba msaada
Kwangu inaandika hivi baada ya kuomba statement.
Pia namba kufahamu kama kuna umuhimu wa kujaza Employment details.
 
Kumekucha HESLB wamefanya marekebisho makubwa balaaa ,ingia uangalie kwangu Safi kabisa
tuendelee kupeana update. Tupe ushuhuda kwako ikoje. Me nimetoka statement inasema it seems you have liquidate your loan.. cjui ndo nimemaliza?? Ila salary slip inasoma 1.6m
 
tuendelee kupeana update. Tupe ushuhuda kwako ikoje. Me nimetoka statement inasema it seems you have liquidate your loan.. cjui ndo nimemaliza?? Ila salary slip inasoma 1.6m
Maana yake kuna change ipo kwao mkuu inatakiwa urudishiwe kiasi
 
Back
Top Bottom