Ahsante sana mzalendo aliyevujisha mkataba wa Dp World, Mungu akulinde, na akuzidishie maisha marefu kwa zawadi uliyotoa kwa mama Tanganyika.

Waliopo nyumba jeupe wengi watakula kifinyo sana kwa wazee wa suti nyeusi au yoga ndo katupenyezea mzigo alafu akarudi kujikausha Kama sio yeye
 
Mkataba haujavuja wala kuvujushwa.

Mkataba ukishafika bungeni ukajadiliwa na bunge lote basi huo umeshakuwa public.

Wabunge wanawakilisha wananchi.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Tunaliamsha kutaka serikali moja, wazenji mtaharishaaa, tunajua hicho peke yake mnakiogopa😂😂😂
 

Attachments

  • FB_IMG_1687285449187.jpg
    63.9 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…