mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,252
- 6,118
Waliopo nyumba jeupe wengi watakula kifinyo sana kwa wazee wa suti nyeusi au yoga ndo katupenyezea mzigo alafu akarudi kujikausha Kama sio yeyembavu zangu mie, nazani watakua wanaangalia kamera zote tangu watu walipotoka dubai nani aliingia chumba cha maangamizi, lakini mwamba sijui alikuwa. maana documenti kama ile ni nyara ya taifa ukikutwa nayo lazima uoge zote, lakini mwamba kawapa watanganyika wote wasome