Ahsante sana mzalendo aliyevujisha mkataba wa Dp World, Mungu akulinde, na akuzidishie maisha marefu kwa zawadi uliyotoa kwa mama Tanganyika.

Ahsante sana mzalendo aliyevujisha mkataba wa Dp World, Mungu akulinde, na akuzidishie maisha marefu kwa zawadi uliyotoa kwa mama Tanganyika.

Wiki ya pili na tunaelekea wiki ya tatu saasa , masikio, macho na mioyo ya wana wa tanganyika yamegoma kuelewa, kupokea, au kusikia nyimbo, mapambio na kelele, maelekezo juu ya uwekezaji tata ulioambatana na mkataba tata wa DP world na mama JMT juu ya bandari za Tanganyika pekee zenye muundo muungano wa TAnzania bara na Tanzania visiwani.

swali kubwa sasa tunafanyaje sasa wakati mfalme kasha saini? na Bunge lao la JMT limesharidhia,? je tunazimaje kelele za watu nje? wapo wanaosema tuwaache huu ni upepo tu utapita, wapo wanaowaza funika kombe mwanaharamu apite, sisi tunendee kutekeleza jambo letu, wapo wanaosema, lakini upande wa pili pia wapo wanaosema, hatutanyamaza kamwe mpaka mpaka kieleweke,?​

lakini nani shujaa?
kwangu mimi, nimpongeze mtanganyika mwenzetu popote alipo apokee maua yake kwa kutoa zawadi kubwa kwa watanganyika wenzake, maana watawala na wataliwa wote wamezama kwenye mdahalo ambao chanzo chake hakijulikani, na hakuna hata aliyepinga kuwa mkataba huu ni fake, na wote tunarejea (nukuu zetu) ni kwenye mkataba huo huo. ni ishara wazi kuwa ndani ya serikali tuna wenzetu ambao ni wazalendo na hawapendi kuona ujinga ukitendeka, na ndio maana wamekuwa tayari kujitoa na kuonyesha wenzao nini kinaendelea katika nchi yao, kwa hiyo ni kazi yao na si yake tena.​

napongeza sana juhudi za mwenzetu, na Mungu ampe maisha marefu, yeye na vizazi vyake vyote.

Mungu ibariki Tanganyika na watu wake wote.
Huenda lengo ni kuficha pia uchafu wake kwenye ile Wizara inayoendelea kutulaza giza. The Guy is intelligent maana amefifisha mjadala wa bajeti ya wizara yake lkn pia kumtengenezea Mtawala wa sasa wakati mgumu hapo 2025/2030!
 
Wiki ya pili na tunaelekea wiki ya tatu saasa , masikio, macho na mioyo ya wana wa tanganyika yamegoma kuelewa, kupokea, au kusikia nyimbo, mapambio na kelele, maelekezo juu ya uwekezaji tata ulioambatana na mkataba tata wa DP world na mama JMT juu ya bandari za Tanganyika pekee zenye muundo muungano wa TAnzania bara na Tanzania visiwani.

swali kubwa sasa tunafanyaje sasa wakati mfalme kasha saini? na Bunge lao la JMT limesharidhia,? je tunazimaje kelele za watu nje? wapo wanaosema tuwaache huu ni upepo tu utapita, wapo wanaowaza funika kombe mwanaharamu apite, sisi tunendee kutekeleza jambo letu, wapo wanaosema, lakini upande wa pili pia wapo wanaosema, hatutanyamaza kamwe mpaka mpaka kieleweke,?​

lakini nani shujaa?
kwangu mimi, nimpongeze mtanganyika mwenzetu popote alipo apokee maua yake kwa kutoa zawadi kubwa kwa watanganyika wenzake, maana watawala na wataliwa wote wamezama kwenye mdahalo ambao chanzo chake hakijulikani, na hakuna hata aliyepinga kuwa mkataba huu ni fake, na wote tunarejea (nukuu zetu) ni kwenye mkataba huo huo. ni ishara wazi kuwa ndani ya serikali tuna wenzetu ambao ni wazalendo na hawapendi kuona ujinga ukitendeka, na ndio maana wamekuwa tayari kujitoa na kuonyesha wenzao nini kinaendelea katika nchi yao, kwa hiyo ni kazi yao na si yake tena.​

napongeza sana juhudi za mwenzetu, na Mungu ampe maisha marefu, yeye na vizazi vyake vyote.

Mungu ibariki Tanganyika na watu wake wote.
Huyu atasakwa na uvccm nje ndani!!!
 
Wiki ya pili na tunaelekea wiki ya tatu saasa , masikio, macho na mioyo ya wana wa tanganyika yamegoma kuelewa, kupokea, au kusikia nyimbo, mapambio na kelele, maelekezo juu ya uwekezaji tata ulioambatana na mkataba tata wa DP world na mama JMT juu ya bandari za Tanganyika pekee zenye muundo muungano wa TAnzania bara na Tanzania visiwani.

swali kubwa sasa tunafanyaje sasa wakati mfalme kasha saini? na Bunge lao la JMT limesharidhia,? je tunazimaje kelele za watu nje? wapo wanaosema tuwaache huu ni upepo tu utapita, wapo wanaowaza funika kombe mwanaharamu apite, sisi tunendee kutekeleza jambo letu, wapo wanaosema, lakini upande wa pili pia wapo wanaosema, hatutanyamaza kamwe mpaka mpaka kieleweke,?​

lakini nani shujaa?
kwangu mimi, nimpongeze mtanganyika mwenzetu popote alipo apokee maua yake kwa kutoa zawadi kubwa kwa watanganyika wenzake, maana watawala na wataliwa wote wamezama kwenye mdahalo ambao chanzo chake hakijulikani, na hakuna hata aliyepinga kuwa mkataba huu ni fake, na wote tunarejea (nukuu zetu) ni kwenye mkataba huo huo. ni ishara wazi kuwa ndani ya serikali tuna wenzetu ambao ni wazalendo na hawapendi kuona ujinga ukitendeka, na ndio maana wamekuwa tayari kujitoa na kuonyesha wenzao nini kinaendelea katika nchi yao, kwa hiyo ni kazi yao na si yake tena.​

napongeza sana juhudi za mwenzetu, na Mungu ampe maisha marefu, yeye na vizazi vyake vyote.

Mungu ibariki Tanganyika na watu wake wote.
Nchi hii ipo na watu wapo viapo vya utaifa kwanza wengine ndo wale bora liende, hatujui japo alievujisha ni kwa maslahi binafsi au kwa uzalendo wa nchi yake but kwa kwanzia nami nampongeza
 
Wiki ya pili na tunaelekea wiki ya tatu saasa , masikio, macho na mioyo ya wana wa tanganyika yamegoma kuelewa, kupokea, au kusikia nyimbo, mapambio na kelele, maelekezo juu ya uwekezaji tata ulioambatana na mkataba tata wa DP world na mama JMT juu ya bandari za Tanganyika pekee zenye muundo muungano wa TAnzania bara na Tanzania visiwani.

swali kubwa sasa tunafanyaje sasa wakati mfalme kasha saini? na Bunge lao la JMT limesharidhia,? je tunazimaje kelele za watu nje? wapo wanaosema tuwaache huu ni upepo tu utapita, wapo wanaowaza funika kombe mwanaharamu apite, sisi tunendee kutekeleza jambo letu, wapo wanaosema, lakini upande wa pili pia wapo wanaosema, hatutanyamaza kamwe mpaka mpaka kieleweke,?​

lakini nani shujaa?
kwangu mimi, nimpongeze mtanganyika mwenzetu popote alipo apokee maua yake kwa kutoa zawadi kubwa kwa watanganyika wenzake, maana watawala na wataliwa wote wamezama kwenye mdahalo ambao chanzo chake hakijulikani, na hakuna hata aliyepinga kuwa mkataba huu ni fake, na wote tunarejea (nukuu zetu) ni kwenye mkataba huo huo. ni ishara wazi kuwa ndani ya serikali tuna wenzetu ambao ni wazalendo na hawapendi kuona ujinga ukitendeka, na ndio maana wamekuwa tayari kujitoa na kuonyesha wenzao nini kinaendelea katika nchi yao, kwa hiyo ni kazi yao na si yake tena.​

napongeza sana juhudi za mwenzetu, na Mungu ampe maisha marefu, yeye na vizazi vyake vyote.

Mungu ibariki Tanganyika na watu wake wote.
Ntumie huu mkataba.
 
Nihivi mambo ya kufungana minyororo yalisha pitwa na wakati hatutaki tena kuludi huko

Kama kuna mtu anawapenda sana waarabu siivibaya akasilimisha hata ulaia wake ili tu mjuwe vizuri

Madhara waliyo yapata babu zetu yanatosha sana
 
Nihivi mambo ya kufungana minyororo yalisha pitwa na wakati hatutaki tena kuludi huko

Kama kuna mtu anawapenda sana waarabu siivibaya akasilimisha hata ulaia wake ili tu mjuwe vizuri

Madhara waliyo yapata babu zetu yanatosha sana
wanataka tufungwe minyororo kama babu zetu wa kale
 
Back
Top Bottom