kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Niwapongeze wagosi kwa kuamua kutetea haki zao. Katika mikitano mingi ya wagombea wananchi wamekuwa na mwitikio chanya huku kilio kikubwa kikiwa kutelekezwa.
Majimbo ya Tanga hayana maendeleo pamoja kuichagua CCM, safari hii wanadai wanabadili watawala wapate ladha ya upinzani.
Hongereni Sasa, fanyeni maamuz sahihi 28/10
Majimbo ya Tanga hayana maendeleo pamoja kuichagua CCM, safari hii wanadai wanabadili watawala wapate ladha ya upinzani.
Hongereni Sasa, fanyeni maamuz sahihi 28/10